Ni kweli ila pengine mwalimu auko sahihi sana kumbuka hayo maji lazima yaombewe na kwajina la yesu kristo anazareth
swala la muhimu ni kuwa naimani na kama uonavyo hapo juu binafsi naomba mwenye kuyapata anijulishe...unajua kuna nguvu ndani ya water,mafuta(annointing oil,na chumvi,,binafsi nimeshamwaga umuhimu wa chumvi na maandiko yake akika yanavuruga kila planing ya shetan nimeona live bila chenga..so mwenye kuwa na uwezo nayo atujulishe akuna asieamini vinginevyo angenda maji ya pugu kwenye fungus akanywa amakujipaka
ubarikiwe mwalimu