dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,809
- 61,674
tumia system app remover itatoka..au nobloatNawezaje itoa Hangeout if imewekwa kama bloatware app(pre-installed) so far available kingroot to root my phone haijatoka!.
tumia system app remover itatoka..au nobloatNawezaje itoa Hangeout if imewekwa kama bloatware app(pre-installed) so far available kingroot to root my phone haijatoka!.
Mkuu @Chief_Mkwawa samahani kuwa nje ya mada nina simu ya Window Nokia model 620 RM-846 haiwaki mpaka mwisho inaishia katikati ni nini tatizo?unaidisable mkuu,
Mh u mean Google kuchunguza mawasiliano yangu mkuumost of time hili tatizo husababishwa na Tamaa za google za kutaka kucontroll kila unachofanya.
nenda setting za message (huko ulikoangalizia centre no) angalia default msg app sio hangout? kama ni hangout itoe eka sms/messaging kama default app
What?Andika bashite tuna 111.
hapana, google kutaka utume msg na app yao baada ya app inayokuja na simuMh u mean Google kuchunguza mawasiliano yangu mkuu
maybe os imecorupt, iformat au eka upya software yakeMkuu @Chief_Mkwawa samahani kuwa nje ya mada nina simu ya Window Nokia model 620 RM-846 haiwaki mpaka mwisho inaishia katikati ni nini tatizo?
Ntaweza kuiformat vipi Mkuu ikiwa haiwaki kwa kumalizika au una maana katika kompyuta?maybe os imecorupt, iformat au eka upya software yake
-zima simuNtaweza kuiformat vipi Mkuu ikiwa haiwaki kwa kumalizika au una maana katika kompyuta?
Hizo zote zinahitaji root permission ambayo app ya kuroot simu nikiiweka inasay current version yangu hakuna!..tumia system app remover itatoka..au nobloat
Kwahiyo unaweza Fanya nn Ku solve hili mkuuhapana, google kutaka utume msg na app yao baada ya app inayokuja na simu
nimekujibu juu badili default sms appKwahiyo unaweza Fanya nn Ku solve hili mkuu
OK ngoja nijarbu mkuunimekujibu juu badili default sms app
Asante MKUU wacha nitafute batan mana zilichomoka ntaleta mrejesho.-zima simu
-bonyeza button ya kupunguzia sauti
-shikilia button ya kupunguzia sauti huku unabonyeza button ya kuwashia kama sekunde tatu hivi, ikiwaka achilia ya kuwashia huku ya kupunguza sauti bado umeishikilia
ikiwaka kabisa itakuwa tayari imejiformat
Nimefuta zote ila still vile vile mkuu msaada tafadhaliFuta sms zote kwenye cm then tuangalie kama tatizo limeisha ama la