Msaada: Napendwa na wasichana mpaka kero

Msaada: Napendwa na wasichana mpaka kero

bishororo

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2017
Posts
254
Reaction score
358
Habari wapendwa,

Poleni na majukumu ya kazi na kujenga mimi ni kijana wa miaka 27 kimaumbile nipo kawaida mrefu wa wastani, maji ya kunde kifupi najiona mtu wa kawaida lakini nashanga jinsi watoto wa kike wanavyonisumbua na kujirahisisha kwangu wengine mpaka wanadiriki kunitongozaa na kunihonga bila kuomba.

Tatizo hili nimeanza nalo toka mdogo nilipoanza kujitambua ikafika kipindi mpaka wakinamama wananitaka kimapenzi kinguvu hata ikafikia kipindi mpaka mahouse girls wanataka niwape utamu nikawa sina raha wasichana wanapigana kisa mimi wengine kunywa mpaka sumu.

Mpaka sasa hivi sielewi imekuwa kero sasa wake za watu wananisumbua wasanii wakubwa wazazi wa marafiki zangu naumia sana sitoki nje sasa hivi naogopa wasichana wakiniona wanachanganyikiwa.

Kwa tatzo hilo nikaamua kwenda kwa ustaadhi kumwelezea alichoniambia sitaki kuamini eti na jini linalonifanya nipendwe na nisipoangalia nitapata maradhi mpaka nilitoe, jamani mpaka sasa sijui nifanyeje.

Nini msaada wenu tafadhali?
 
Habari wapendwa,
Poleni na majukumu ya kazi na kujenga Mimi nikijana wa miaka 27 kimaumbile npo kawaida mrefu wa wastani,maji ya kunde kifupi najiona mtu wa kawaida lakini nashanga jinsi watoto wa kike wanavyonisumbua na kujirahisisha kwangu wengine mpka wanadiriki kunitongozaa na kunihonga bila kuombaa

Tatzo hili nmeanza nalo toka mdogo nilipanza kujitambua ikafika kipindi mpaka wakinamama wananitaka kimapenz kinguvu hta ikafikia kipindi mpka mahouse girls wanataka niwape utamuuu nkawa sina raha wasichana wanapigana Kisa Mimi wengine kunywa mpaka sumuuu
Mpaka Sasa ivi sielewi imekuwa kero Sasa wake za watu wananisumbua wasanii wakubwaaa wazazi wa marafiki zangu naumia sana sitoki nje sasa ivii naogopa wasichana wakiniona wanachanganyikiwa
Kwa tatzo Hilo nikaamua kwenda kwa ustaadhi kumwelezea alichoniambia sitaki kuamini eti na jini linalonifanya nipendwe na nicpo angalia nitapata maradhi mpka nlitoe jaman mpka Sasa sijui nifanyee nini msaada wenu tafadhali
Weka na picha yako mkuu, tukuthaminishe
 
Weka picha kwanza, maana nimeona unakuja kujitangaza hapa jukwaani! Sijui ndio ninyi mnaotafutwa na Mh. Kigwangala
 
Itakuwa Radhi ya kuwaona wazazi wakiduu
 
Haya maneno tutaaminije sasa, weka ushahidi wa picha jinsi wanavyokufatafata au kukusumbua ili tukushauri.
 
naona namba inasomeka vizuri..
Darasa la 7 mtahitimu mnajua kusoma na kuandika sasa...

Mh.ongeza!!
 
Mkuu usiwe unakuja na post za namna hii, kama ni mwanaume kweli unajidhalilisha sana, wanawake wenyewe wanaotongozwa mara kibao hawaji kulia lia jukwaani, iweje kwako mwanaume??
Mimi mwanaume sa ka mm naliona ttzo nkae kimya tuuu
 
Man wala ucogope.. just kuwa na msimamo... wakukataaa... wale ambao unaona hawana nia njema. And wala ucogope kutoka nje..
Ww endelea na shughuli zako... lakin kuwa na msimamo na uwe makini.
 
Back
Top Bottom