ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,387
- 5,235
Toka nimeoa nina miezi sita. Huwa tunahesabu siku ya 11 hadi 14 lakini hatujabahatika. Nini inaweza kuwa sababu ya hili? Tiba yake ikoje?
Msaada wa mawazo kwenu wataalamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada wa mawazo kwenu wataalamu.
Sent using Jamii Forums mobile app