Yaani hata nikisikia mlio wa ambulance tu basi akilini naisikia 'Brigedier Sabari' ya alpha blond,
Yaani nikisikia tu neno 'mpenzi' basi haraka kichwani huja wimbo 'Sanura' wa Tongolanga kwenye kile kipande kinachosema,
''Unachonishangaza mpeenzi, huzoeleki;
Huwa unashindwa wapi zaiidi, tele kwa tele;
Siku ya kwanza mapenzi yetu na leo yote ni saawa;
Mengiii mageni nayaona kwako, we una kipaji mamaaa".
Nikisikia tu neno 'what' basi haraka huja kichwani nyimbo kadhaa za dmx zikiwemo "what's ma name, what these they want" n.k
Nikisikia tu neno 'hela' basi haraka kichwani huja ule wimbo wa jafarai uitwao "toa hela".
Nikisikia tu neno 'salamu au wazazi' basi haraka huja ule wimbo wa "Salaam baba na mama" wa wale zilipendwa.
Nipo hivyo karibu kila wakati hadi funga yangu inatetereka, nafanyaje kujitoa?!!!
Yaani nikisikia tu neno 'mpenzi' basi haraka kichwani huja wimbo 'Sanura' wa Tongolanga kwenye kile kipande kinachosema,
''Unachonishangaza mpeenzi, huzoeleki;
Huwa unashindwa wapi zaiidi, tele kwa tele;
Siku ya kwanza mapenzi yetu na leo yote ni saawa;
Mengiii mageni nayaona kwako, we una kipaji mamaaa".
Nikisikia tu neno 'what' basi haraka huja kichwani nyimbo kadhaa za dmx zikiwemo "what's ma name, what these they want" n.k
Nikisikia tu neno 'hela' basi haraka kichwani huja ule wimbo wa jafarai uitwao "toa hela".
Nikisikia tu neno 'salamu au wazazi' basi haraka huja ule wimbo wa "Salaam baba na mama" wa wale zilipendwa.
Nipo hivyo karibu kila wakati hadi funga yangu inatetereka, nafanyaje kujitoa?!!!