vadrick
Member
- Aug 3, 2016
- 64
- 41
Ndugu zangu naombeni ushauri mliopo kwenye relation kwa muda mrefu kiukweli kabisa namuonea wivu sana girlfriend wangu hususan kwenye kumuamini simuamini hata kidogo ila sijawahi mfumania wala kumkuta na JAMAA ila kuna tetesi tu kuwa kuna JAMAA alikuwa anaimbisha.
Inilikuja kumuuliza akasema ni kweli aliwahi kunitongoza ila nikawa na musanga danganya tu ila nimeshindwa kumuamini kabisa ananipenda nampenda nifanyaje wivu unipotee
Natanguliza shukran zenu.
Inilikuja kumuuliza akasema ni kweli aliwahi kunitongoza ila nikawa na musanga danganya tu ila nimeshindwa kumuamini kabisa ananipenda nampenda nifanyaje wivu unipotee
Natanguliza shukran zenu.