Ya mbeyaWakuu habari za majukumu ya kutafuta mkate wa kila siku!? Mungu ni mwema natumai Mu wazima..!!
Naomba kusaidiwa njia (route) rahisi kwa mtu anayetoka Mpanda Katavi kwenda Morogoro, Niko na ndugu yangu anataka kwenda Moro akitokea Mpanda. Njia ninayoijua vizuri ni kutokea Sumbawanga kupitia Mbeya na Iringa, kama kuna njia Nzuri ya kutokea Mpanda hadi Dodoma then Moro naomba kusaidiwa maelekezo ili nimfikishie ndugu yangu Ahsante.
Sina shida ya kwenda Tanroad kujua distance , Tanzania nimeitembea yote sijaacha sehemu, na distance kwangu ni ndo maisha yangu .Ingia website ya Tanroads utakuta distance chart atapata umbali kwa njia zote
chukua basi la Katavi mpaka Mbeya, then chukua Sauli from Mbeya to Moro, kwisha kazi,Wakuu habari za majukumu ya kutafuta mkate wa kila siku!? Mungu ni mwema natumai Mu wazima!
Naomba kusaidiwa njia (route) rahisi kwa mtu anayetoka Mpanda Katavi kwenda Morogoro, Niko na ndugu yangu anataka kwenda Moro akitokea Mpanda.
Njia ninayoijua vizuri ni kutokea Sumbawanga kupitia Mbeya na Iringa, kama kuna njia Nzuri ya kutokea Mpanda hadi Dodoma then Moro naomba kusaidiwa maelekezo ili nimfikishie ndugu yangu Ahsante.
Yuko sahihi...Mbeya Kisha NJOMBE halafu Iringa?
Okay. Tuma salamu kwa watu watatuYuko sahihi...
Hujui kuwa makambako ni mkoa wa njombe?Mbeya Kisha NJOMBE halafu Iringa?
Lazima pia uvuke mkoa wa songea..Yes, kabla ya kufika mkoa wa Iringa lazima upite mkoa wa Njombe kama unatokea Mbeya.
Lazima pia uvuke mkoa wa songea..
So mtu anyetokea Mwanza anapita Tabora badala ya Nzega?Hujui kuwa makambako ni mkoa wa njombe?
Panda Mpanda-Tabora-Itigi-Manyoni-Dom then MoroWakuu habari za majukumu ya kutafuta mkate wa kila siku!? Mungu ni mwema natumai Mu wazima!
Naomba kusaidiwa njia (route) rahisi kwa mtu anayetoka Mpanda Katavi kwenda Morogoro. Niko na ndugu yangu anataka kwenda Moro akitokea Mpanda.
Njia ninayoijua vizuri ni kutokea Sumbawanga kupitia Mbeya na Iringa, kama kuna njia Nzuri ya kutokea Mpanda hadi Dodoma then Moro naomba kusaidiwa maelekezo ili nimfikishie ndugu yangu.
Ahsante.
Anapita tabora, sasa ukitaka kujua anapita tabora sehemu gani ndio tutakwambia nzega, igunga nkSo mtu anyetokea Mwanza anapita Tabora badala ya Nzega?
Dar to Mwanza,So mtu anyetokea Mwanza anapita Tabora badala ya Nzega?
Bila shaka yo yote wewe ni mkimbizi haramu!Wakuu habari za majukumu ya kutafuta mkate wa kila siku!? Mungu ni mwema natumai Mu wazima!
Naomba kusaidiwa njia (route) rahisi kwa mtu anayetoka Mpanda Katavi kwenda Morogoro. Niko na ndugu yangu anataka kwenda Moro akitokea Mpanda.
Njia ninayoijua vizuri ni kutokea Sumbawanga kupitia Mbeya na Iringa, kama kuna njia Nzuri ya kutokea Mpanda hadi Dodoma then Moro naomba kusaidiwa maelekezo ili nimfikishie ndugu yangu.
Ahsante.
Haina route ya Morogoro Kihoda Airport!Kwani huko national airline ATCL haifiki? ATCL inaunganisha miji yote