Msaada: Naomba kujuzwa jinsi ya kupata uraia kwa msichana anayetoka nje ya nchi ili kuolewa na kuishi Tanzania

Akipata na katoto akape jina la kikabila.
 
Halafu siku mkiachana huyu Mwanamke itabidi aingie kitaani peke yake kuanza life la kibongo? Hakuna mwanamke wakufanya kosa kama hilo,Mkuu naona kabisa kua unaingizwa cha Kike na imebakia tu utume nauli,

Jaribu kumwambia kua anaonaje kama wewe ndio uende huko Australia ili muanzie maisha huko? akikutolea nje jua kabisa kua unaingizwa mkenge mchana kweupee!
 
Vijana wa Lagos wako kazini.
Mkuu unakaribia kuliwa kichwa na Yahoo boyz! Utaleta mrejesho hapa hivi karibuni.
Mie mwenzio hadi video calls zilihusika nikajua nimepata mpenzi wa kidachi kumbe laaah nachazeshwa na akina Yahoo boyz toka mitaa ya Lagos!! Nilikuja kuokolewa na ki anko changu na zile pesa nikaona bora nikanunue shamba.
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…