Baraka sheni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 470
- 193
Wakuu poleni na majukumu,
Katika pita pita za mitandaoni nimeona baadhi ya nchi zikiwa na uhitaji wa wafanyakazi hivi ni nchi gani huwa wanachukua wanyakazi tz hata wale vibarua wa mashambani.
Je, taratibu zikoje ili niweze kufanya kazi huko?
Msaada tafadhali
Katika pita pita za mitandaoni nimeona baadhi ya nchi zikiwa na uhitaji wa wafanyakazi hivi ni nchi gani huwa wanachukua wanyakazi tz hata wale vibarua wa mashambani.
Je, taratibu zikoje ili niweze kufanya kazi huko?
Msaada tafadhali