Habarini wanajanvi,
Mwanangu amechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule ya secondary Morogoro. Natamani nimuhamishe kumpeleka shule ya secondary ya boarding ya serikali yenye ufaulu mzuri ambayo wanaweza kumconsider kulingana na ufaulu wake wa Std 7. Kuhusu Ufaulu wake ni kama ufuatavyo. Hisabati A, Maarifa B, Science, A Kiswahili A na English A. Wastani wa A.
Mwanangu amechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule ya secondary Morogoro. Natamani nimuhamishe kumpeleka shule ya secondary ya boarding ya serikali yenye ufaulu mzuri ambayo wanaweza kumconsider kulingana na ufaulu wake wa Std 7. Kuhusu Ufaulu wake ni kama ufuatavyo. Hisabati A, Maarifa B, Science, A Kiswahili A na English A. Wastani wa A.