Reptilia
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 823
- 788
Wadau habari za mchana,,mimi sina maneno mengi sana zaidi nataka kufaham matumizi ya black list kwenye simu.. Kuna jamaa yangu anadai kuwa ananitumia text lakini mimi sizioni yeye anasema ujumbe unapokelewa lakini kwangu sioni meseji yoyote ile anasema hilo tatizo linaonekana kwenye namba yangu tu,,,hivi wakuu hilo nitatizo la mtandao au ndio hiyo BLACK LIST msaada hapo wakuu tafadhali...