Msaada naogopa kulizwa tena

Msaada naogopa kulizwa tena

Dozier

Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
20
Reaction score
5
Nina Tsh.200,000 nataka kununua Huawei y530 siitaki ile ya Tigo lkn kinacho niogopesha zaidi ni kubakikizwa kama walivyo nishkisha S4 clone, naijuaje ya ukweli? au nichukue hata tecno P5 tu?
 
Ongeza 10,000 nikuachie yangu. Imetumika wiki 1
 
Nina Tsh.200,000 nataka kununua Huawei y530 siitaki ile ya Tigo lkn kinacho niogopesha zaidi ni kubakikizwa kama walivyo nishkisha S4 clone, naijuaje ya ukweli? au nichukue hata tecno P5 tu?

Mimi sijaelewa kwani simu za tigo zina tatizo gani?
 
Yani Huawei usipo kuwa makini unapigwa peupeeee.
Bora hata tecno ongeza 30000 uchukue M5. Itategemea na ulipo lkn.
 
Back
Top Bottom