Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,741
- 17,995
Niliwahi kuleta Uzi kwa nia ya ku whistle blow taarifa nyeti ya mtu ninayemshuku kuwa ni gaidi wilayani Bwagamoyo.
Nilimshuku mtu huyo baada ya ishara kuu Tatu.
1. Tulianza mijadala ya kawaida ya kidini lakini baadaye akwa nanaishawishi nibadili dini.
2. Alipoona sielekekei kukubaliana naye ndipo akaanza kunitumia SMS za vitisho kuwa yeye ni mujahideen na ana uhakiaka miaka ijayo wataishika dola kwa mtutu wa bunduki na Watu wote ambao siyo Waislam watachinjwa kwa hiyo Ni vyema nihamie dini salama mapema.
3. Alienda mbali na kunieleza kuwa matarajio ya Vita vya Tatu vya dunia vitakuwa Kati ya Waislam na makafiri na wao ndiyo watashinda. Akasema vita hivyo vitaanza hivi karibuni pindi tu hekalu la Sulemani litakapobomolewa.
Nikaingia Google nikajua kumbe mujahideen ni neno linalohusisha wapignaji wa dini Kama Al shabaab, Islamic State nk.
Pia kupitia Google, nilijua kuwa Wayahudi wameanza maandalizi ya kubomoa Hilo hekalu.
Kupitia JamiiForums nilifahamu kuwa Kafiri Ni mtu yeyote ambaye siyo muislam.
Nilipoona habari za mtu huyu zinaweza kuwa kweli na huku nikiamini kuwa JamiiForums Kuna watu wa kila kada, nikaleta taarifa na namba yake ya simu ili wahusika wa ulinzi na usalama wamfuatilie wajiridhishe Kama Ni mtu wa Amani au Ni hatari.
Kwanini niliamua kuleta Habari humu badala ya kwenda Polisi?
1. Yule mtu kwa kinywa chake aliniambia wana mtandao mkubwa serikalini na kwenye majeshi mbalimbali hapa nchini. Nikawaza endapo nikitoa taarifa Polisi na kwa bahati mabaya nitakaowakuta Ni watu wao.
Au nikipiga Simu na baadae nikajikuta kwenye cheni ya upelelezi ambao utanipotezea Muda.
Au Polisi na Wana usalama wengine wakapokea taarifa kwa mihemko na kunishikilia jambo litakalohatarisha kibarua changu.
Leo naomba Wana JamiiForums tufahamishane njia nzuri ya kuripoti matukio ya kiusalama bila kujulikana au kuhatarisha usalama wa mtoa taarifa.
Nilimshuku mtu huyo baada ya ishara kuu Tatu.
1. Tulianza mijadala ya kawaida ya kidini lakini baadaye akwa nanaishawishi nibadili dini.
2. Alipoona sielekekei kukubaliana naye ndipo akaanza kunitumia SMS za vitisho kuwa yeye ni mujahideen na ana uhakiaka miaka ijayo wataishika dola kwa mtutu wa bunduki na Watu wote ambao siyo Waislam watachinjwa kwa hiyo Ni vyema nihamie dini salama mapema.
3. Alienda mbali na kunieleza kuwa matarajio ya Vita vya Tatu vya dunia vitakuwa Kati ya Waislam na makafiri na wao ndiyo watashinda. Akasema vita hivyo vitaanza hivi karibuni pindi tu hekalu la Sulemani litakapobomolewa.
Nikaingia Google nikajua kumbe mujahideen ni neno linalohusisha wapignaji wa dini Kama Al shabaab, Islamic State nk.
Pia kupitia Google, nilijua kuwa Wayahudi wameanza maandalizi ya kubomoa Hilo hekalu.
Kupitia JamiiForums nilifahamu kuwa Kafiri Ni mtu yeyote ambaye siyo muislam.
Nilipoona habari za mtu huyu zinaweza kuwa kweli na huku nikiamini kuwa JamiiForums Kuna watu wa kila kada, nikaleta taarifa na namba yake ya simu ili wahusika wa ulinzi na usalama wamfuatilie wajiridhishe Kama Ni mtu wa Amani au Ni hatari.
Kwanini niliamua kuleta Habari humu badala ya kwenda Polisi?
1. Yule mtu kwa kinywa chake aliniambia wana mtandao mkubwa serikalini na kwenye majeshi mbalimbali hapa nchini. Nikawaza endapo nikitoa taarifa Polisi na kwa bahati mabaya nitakaowakuta Ni watu wao.
Au nikipiga Simu na baadae nikajikuta kwenye cheni ya upelelezi ambao utanipotezea Muda.
Au Polisi na Wana usalama wengine wakapokea taarifa kwa mihemko na kunishikilia jambo litakalohatarisha kibarua changu.
Leo naomba Wana JamiiForums tufahamishane njia nzuri ya kuripoti matukio ya kiusalama bila kujulikana au kuhatarisha usalama wa mtoa taarifa.