PROFOUND NOTION
Member
- Nov 3, 2022
- 99
- 198
Karibuni ndugu zangu maana hali sio hali
Tuwa tag woteeeeeee 😁
Na Isenye Mwaka jana alianza kuogea chumvi ya mawe alete mrejeshoTuwa tag woteeeeeee 😁
Mkuu, kichwa cha habari kina eleza yeye hautaki kanisani, mashehe, Wala waganga.Wewe ni Dini gani?
Tupo hapa mpaka mleta mada kieleweke...na atupe mrejeshoNa Isenye Mwaka jana alianza kuogea chumvi ya mawe alete mrejesho
First aid ni Chumvi ya mawe. Weka kwenye maji yako ya kuoga kisha nuia na utumie bafu sio choo kuogea.
Ya mkaa imekaajeMkuu, kichwa cha habari kina eleza yeye hautaki kanisani, mashehe, Wala waganga.
Anataka mbinu za kuondoka CHUKI na husda...
NB. Njia nazo jua Mimi ni zifwatazo 1. CHUMVI YA MAWE..hii husaidia sana kama jamaa aki utumia vyema.
2. KIPANDE CHA MKAA, hii mbinu husaidia sanaa..
3. Mafuta ya mzaituni( mafuta ya upako)
4. Mfupa wa nguruwe walau kipande kidogo au mafuta yake una jipaka
Kwa uchache sanaaa
Naomba kuwasilisha
Kuna mzee mmoja wa kifipa R.I.P Alinambia Kila UKITAKA KUTOKA HOME ASUBUHI UNAWEKA KIPANDE KIDOGO CHA MKAA KWENYE KIATU CHA MGUU WA KUSHOTO.Ya mkaa imekaaje
Mkuu, kichwa cha habari kina eleza yeye hautaki kanisani, mashehe, Wala waganga.
Anataka mbinu za kuondoka CHUKI na husda...
NB. Njia nazo jua Mimi ni zifwatazo 1. CHUMVI YA MAWE..hii husaidia sana kama jamaa aki utumia vyema.
2. KIPANDE CHA MKAA, hii mbinu husaidia sanaa..
3. Mafuta ya mzaituni( mafuta ya upako)
4. Mfupa wa nguruwe walau kipande kidogo au mafuta yake una jipaka
Kwa uchache sanaaa
Naomba kuwasi
Mkuu, kichwa cha habari kina eleza yeye hautaki kanisani, mashehe, Wala waganga.
Anataka mbinu za kuondoka CHUKI na husda...
NB. Njia nazo jua Mimi ni zifwatazo 1. CHUMVI YA MAWE..hii husaidia sana kama jamaa aki utumia vyema.
2. KIPANDE CHA MKAA, hii mbinu husaidia sanaa..
3. Mafuta ya mzaituni( mafuta ya upako)
4. Mfupa wa nguruwe walau kipande kidogo au mafuta yake una jipaka
Kwa uchache sanaaa
Naomba kuwasilish
Asante Mkuu kwa ufafanuzi!Mimi nilikuwa muhanga kama yeye.Nilitumia njia mojawapo ya hizo Tena na wife kabisa,Mambo yalizidi kuwa mabaya zaidi.Mkuu, kichwa cha habari kina eleza yeye hautaki kanisani, mashehe, Wala waganga.
Anataka mbinu za kuondoka CHUKI na husda...
NB. Njia nazo jua Mimi ni zifwatazo 1. CHUMVI YA MAWE..hii husaidia sana kama jamaa aki utumia vyema.
2. KIPANDE CHA MKAA, hii mbinu husaidia sanaa..
3. Mafuta ya mzaituni( mafuta ya upako)
4. Mfupa wa nguruwe walau kipande kidogo au mafuta yake una jipaka
Kwa uchache sanaaa
Naomba kuwasilisha
Baad ya kufeli kwenye njia hizo ulitumia njia gani mkuuAsante Mkuu kwa ufafanuzi!Mimi nilikuwa muhanga kama yeye.Nilitumia njia mojawapo ya hizo Tena na wife kabisa,Mambo yalizidi kuwa mabaya zaidi.
Itakuwa alienda kwa mwamposa akanunua kijiko cha udongo na mafuta ya upakoBaad ya kufeli kwenye njia hizo ulitumia njia gani mkuu
1. Nguvu ya uponyaji unayo mwengeweKaribuni ndugu zangu maana hali sio hali