Msaada: Najihisi mimi ni bisexual

Matango pori!
Hakuna dawa ya ushoga, hii ni tabia kama tabia nyingine ukitaka unaendelea au unaacha, hakuna kidonge cha kuzima hamu za ngono!
 
Matango pori!
Hakuna dawa ya ushoga, hii ni tabia kama tabia nyingine ukitaka unaendelea au unaacha, hakuna kidonge cha kuzima hamu za ngono!
Unasahau/Hujui kama kupitia 'psychology' unaweza ondoa tabia iliyopo au kutengeneza tabia ambayo haikuwepo before..
 
Sasa mwanaume mwenzio unamtamanije?? Akule au ummle??
 
Unasahau/Hujui kama kupitia 'psychology' unaweza ondoa tabia iliyopo au kutengeneza tabia ambayo haikuwepo before..
Psycholojia sio dawa ni tiba, dawa Nadhani ni vidonge or things of that nature.
Haya mpeleke akipona ulete mrejesho
 
Psycholojia sio dawa ni tiba, dawa Nadhani ni vidonge or things of that nature.
Haya mpeleke akipona ulete mrejesho
Usikurupuke sasa..kuna sehemu kwenye comment yangu nimesema dawa!???? Soma uelewe ndo uongee..acha kukurupuka wewe!
 
Mkuu sijajua nia yako. Ww unatka kuishi vipi ili tutoe mawazo relevant.
 
kama ni hormonal imbalance....sio rahisi kihivo....naona watu wanashauri utafute demu ...that wont help hapo mwarobaini ni ku correct hormonal imbalance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…