Msaada, nahitaji kujua lugha ya mume wangu

Msaada, nahitaji kujua lugha ya mume wangu

Hili nalo ni tatizo watu kuongea lugha yao.Acha kujiumiza na vitu vidogo vdogo utakonda bure.Mi mme wangu ni kabila lingine, akija mtu wakawa wanaongea kikwao huwa na assume hayanihusu naendelea na mambo yangu.Kama kuna litakalonihusu wataniita.
Thaaaaats my gelo
 
Nashukuru wote kwa mawazo yenu!mwanzoni mimi sikujua kama linapaswa kuniumiza kichwa,lakini wadogo zangu walipokuwa wanakuja kunitembelea na kumkuta mume wangu anaongea kilugha kwenye simu ndipo wakaanza kuniuliza kwa nn anaongea hivyo wakati mimi sielewi!tena ikatokea marafiki zangu walikuja kunitembelea wakakuta ndugu za mume wangu wapo pia wanaongea kikwao,wakaniuliza maswali hayahaya!
Hapo ndio nikaanza kuumiza kichwa kwa nini mume wangu anafanya hivi.Ila nashukuru sana ndugu zangu kwa mawazo yenu,nimepata kitu.
prax ndoa ni yako na mume wako sio na wadogo zako au marafiki zako...so ignore them..akili za kuambiwa changanya na zako

Nikuambie kitu ukinialika Iddi sitasikiliza maongezi ya Mumeo kwen simu au na ndugu zake..ntakusikiza ww na vikarangizo vya pilau na biriani..hebu nialike uone.
 
Last edited by a moderator:
Na wewe! Haya bwana kama unanitenga. Ntampeleka wapi huyu hana shares jeiefu? Niko kimkakati zaidi

Hahaa alijua ni kamchepuko labda asije akaingia dhambini....lol mwalimu wangu sa ivi hataki contamination ooh
 
Nashukuru wote kwa mawazo yenu!mwanzoni mimi sikujua kama linapaswa kuniumiza kichwa,lakini wadogo zangu walipokuwa wanakuja kunitembelea na kumkuta mume wangu anaongea kilugha kwenye simu ndipo wakaanza kuniuliza kwa nn anaongea hivyo wakati mimi sielewi!tena ikatokea marafiki zangu walikuja kunitembelea wakakuta ndugu za mume wangu wapo pia wanaongea kikwao,wakaniuliza maswali hayahaya!
Hapo ndio nikaanza kuumiza kichwa kwa nini mume wangu anafanya hivi.Ila nashukuru sana ndugu zangu kwa mawazo yenu,nimepata kitu.
Hakyamama!
Nilijua tu!
Hv mnakuwaje kuwasikiliza watu wengine kuhusu maisha ya familia yenu?
 
Hapo ndipo huwa nakupendea! Yaani unatabasamu kweli nikiwa nagonga kikwetu pindi wageni wanapotutembelea kwenye familia yetu! Ama kweli NIMEPATA MKE, LOL! Wanune, walie, shauri yao!

Pou bado umelala eeh??

Stuka unaibiwa huku...

Back to topic... Ongea na mumeo kwa upole umueleze unavyojisia kisha atakushauri!!
 
Mwalimu yaani unaziona fursa...eti tamasha.. King'asti apa tungechaji ngapi kwa mwanandoa anayeandika hili kuwa tatizo...sijui ni obstacle hii au threat...damn
ahahahaha wakati wengine wanalilia kujua lugha za watu.
Mi uchagani nimechukua kuangalia fursa tu!
Chezea kuwa na duka la majani ya ng"ombe,spana za baiskeli,unga wa dengu,misumari nchi sita,mafuta ya taa na vitambaa vya chilimeni?
Hehejhehehe shimbon shafoo yenu endeleeni tu!
 
Last edited by a moderator:
Hahaa alijua ni kamchepuko labda asije akaingia dhambini....lol mwalimu wangu sa ivi hataki contamination ooh
Hahahahahaha wallahi sijui nikuombee kurudia darasa!enh ntakufundisha ya mpk chuo kikuu humo humo darasa la sita!
Hiv naibu waziri wa elimu si ni jenesta mhagama!
Ngoja nikabonge nae chingoni
 
Thaaaaats my gelo

Umeonaa ee.Watu wanapenda kujipa presha bure.Kingereza chenyewe nmeanza kujifunza tangu std one mpaka leo naongea broken sembuse kibantu nlichokikuta nna meno 32.
 
Habari zenu jamani,mimi ni mwanamke mwenye watoto 3 na mume wa ndoa!ndoa yetu namshukuru Mungu anatusaidia tunaishi vizuri kwa maelewano!
Shida yangu ni kuwa mume wangu ni kabila tofauti na mimi,sasa yeye anapenda kweli kuongea kilugha na ndugu zake either kwa simu au hata wakija nyumbani kutusalimia!yeye haoni kama ni shida na nalielewa hilo,tatizo ni kwamba wakati mwingine natamani kusikia wanachokiongea ila ndo hivyo nashindwa.Kumuambia nahisi kama namnyima raha.
Ninachoomba ni msaada wa jinsi ya kumuapproach kumweleza natamani na mimi nichangie katika maongezi bila yeye kufikiri vibaya maana ni mtu anapenda kuongea sana kikwao yani.

Mwambie muajili mkalimani..
 
Umeonaa ee.Watu wanapenda kujipa presha bure.Kingereza chenyewe nmeanza kujifunza tangu std one mpaka leo naongea broken sembuse kibantu nlichokikuta nna meno 32.
we bwana weee!
Acha tu!
Eti wadogo zangu wakija wanashangaa anaongea kweny simu!
Wakija rafiki zangu wanashangaa naliruhusuje hilo!
Heeeee!
Sipeeeend mimi mtu ajikabidhishe maisha yake kwa watu wengineeee!
Bas tu!
 
Hahahahahaha wallahi sijui nikuombee kurudia darasa!enh ntakufundisha ya mpk chuo kikuu humo humo darasa la sita!
Hiv naibu waziri wa elimu si ni jenesta mhagama!
Ngoja nikabonge nae chingoni

Waiting waiting kwa hamu...ntajisikiaje sasa..hahaa
 
Af unifundishe kichaga,nahs kabisa mangi akitembelewa na kina miss chagga Nicas Mtei, Mkirua , Asprin na Kaizer wananichakachua!
Haki vile!
We ni mke wetu, hatuwezi kukuchakachua. Tumekuwowa wenyewe kwa hiari yetu.

Tena mie akija mdogo wangu CANtalasia, namuambia kabisa paw kamtafute Asprin mnywe bia. Yaani tuache kupiga umbea wa nyumbani kisa? Waache wakuseme na waseme ya kwao. Watu miaka 35 wamejuana, hii yako 5 ndo unataka ujue kila kitu, imekuwa phd? Waache waongee ya kwao, mie najiamini miaka laki 8 hehehe
Hahahahaha ahsante kwa taarifa. Popote ulipo Paw kam zis wei tugide ulabu kwa ruhusa ya dada. Ukikamata kabaamedi siatamuambia dada nakuapia.....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom