snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,322
Ooh Sorry sijaweka ushauri, nazani
Mweleze tu kwamba azingatie uwepo wako kwahyo awe anaongea kiswahili atleast wageni wanapokuwepo ili na ww uweze kujumuika kimaongezi, wengine wanakwambia ujifunze hyo lugha jamani sio rahis mwingine lugha ya kwao tu bado ni tatizo kuielewa sembuse lugha ya mwenzio
Duh!
Inaweza ikawa ni issue kubwa kiasi cha kuhitaji baraza la Idd?
Dah!