Okoa gharama mkuu hapa home yapo.Wadau,
Nataka kusafirisha empty container kutoka China mpaka Tanzania, je ni kiasi gani kusafirisha kwa container na je nitatakiwa kulipa ushuru/kodi yoyote kulitoa bandarini?
Asanteni sana.
Ndugu yangu kuna mtu kanipa for free ndio nataka nione kama inanafuu ]Okoa gharama mkuu hapa home yapo.
Shukurani sana!Wape hiyo kazi silent ocean inaweza kuwa kazi rahisi kidogo
Kuna watu wanaagiza mizigo kila siku china, unawasiliana na shiper yeyote kule, anaweka mizigo yake container inakuja kama owners container, ikifika mwenye mzigo anatoa mzigo wake then anakukabidhi container yako. Bure bila kulipia chochote. Ni pm nikupe maelekezoWadau,
Nataka kusafirisha empty container kutoka China mpaka Tanzania, je ni kiasi gani kusafirisha kwa container na je nitatakiwa kulipa ushuru/kodi yoyote kulitoa bandarini?
Asanteni sana.
Tatzo kwenye shipping unalipa by CBM huo mzgo ni Bora utafute hapa hata la m4Ndugu yangu kuna mtu kanipa for free ndio nataka nione kama inanafuu ]
Bingo!K
Kuna watu wanaagiza mizigo kila siku china, unawasiliana na shiper yeyote kule, anaweka mizigo yake container inakuja kama owners container, ikifika mwenye mzigo anatoa mzigo wake then anakukabidhi container yako. Bure bila kulipia chochote. Ni pm nikupe maelekezo
Wazo zuri kabisaK
Kuna watu wanaagiza mizigo kila siku china, unawasiliana na shiper yeyote kule, anaweka mizigo yake container inakuja kama owners container, ikifika mwenye mzigo anatoa mzigo wake then anakukabidhi container yako. Bure bila kulipia chochote. Ni pm nikupe maelekezo
Shukurani sana sana!K
Kuna watu wanaagiza mizigo kila siku china, unawasiliana na shiper yeyote kule, anaweka mizigo yake container inakuja kama owners container, ikifika mwenye mzigo anatoa mzigo wake then anakukabidhi container yako. Bure bila kulipia chochote. Ni pm nikupe maelekezo
Akili kubwa sanaK
Kuna watu wanaagiza mizigo kila siku china, unawasiliana na shiper yeyote kule, anaweka mizigo yake container inakuja kama owners container, ikifika mwenye mzigo anatoa mzigo wake then anakukabidhi container yako. Bure bila kulipia chochote. Ni pm nikupe maelekezo