Msaada: Nahitaji kufahamu gharama za kusafirisha Container (empty) kutoka China mpaka Tanzania

Mabala21

Senior Member
Jul 24, 2021
125
85
Wadau,

Nataka kusafirisha empty container kutoka China mpaka Tanzania, je ni kiasi gani kusafirisha kwa container na je nitatakiwa kulipa ushuru/kodi yoyote kulitoa bandarini?

Asanteni sana.
 
K
Wadau,

Nataka kusafirisha empty container kutoka China mpaka Tanzania, je ni kiasi gani kusafirisha kwa container na je nitatakiwa kulipa ushuru/kodi yoyote kulitoa bandarini?

Asanteni sana.
Kuna watu wanaagiza mizigo kila siku china, unawasiliana na shiper yeyote kule, anaweka mizigo yake container inakuja kama owners container, ikifika mwenye mzigo anatoa mzigo wake then anakukabidhi container yako. Bure bila kulipia chochote. Ni pm nikupe maelekezo
 
K

Kuna watu wanaagiza mizigo kila siku china, unawasiliana na shiper yeyote kule, anaweka mizigo yake container inakuja kama owners container, ikifika mwenye mzigo anatoa mzigo wake then anakukabidhi container yako. Bure bila kulipia chochote. Ni pm nikupe maelekezo
Bingo!
 
K

Kuna watu wanaagiza mizigo kila siku china, unawasiliana na shiper yeyote kule, anaweka mizigo yake container inakuja kama owners container, ikifika mwenye mzigo anatoa mzigo wake then anakukabidhi container yako. Bure bila kulipia chochote. Ni pm nikupe maelekezo
Wazo zuri kabisa
 
K

Kuna watu wanaagiza mizigo kila siku china, unawasiliana na shiper yeyote kule, anaweka mizigo yake container inakuja kama owners container, ikifika mwenye mzigo anatoa mzigo wake then anakukabidhi container yako. Bure bila kulipia chochote. Ni pm nikupe maelekezo
Shukurani sana sana!
 
K

Kuna watu wanaagiza mizigo kila siku china, unawasiliana na shiper yeyote kule, anaweka mizigo yake container inakuja kama owners container, ikifika mwenye mzigo anatoa mzigo wake then anakukabidhi container yako. Bure bila kulipia chochote. Ni pm nikupe maelekezo
Akili kubwa sana
 
Back
Top Bottom