Suala la ADA kwa bahati mbaya sana sifahamu ila ni kati ya Laki 8 na haizidi 1.5M hasa kwa mchepuo wa sanaaasante na ada zao zipoje mkuu
Nimemaliza lake 2016 hapo ada ilikuwa form 5 tsh laki nane na nusu na form 6 nililipa 945,000. Ada ni pamoja na uniformSuala la ADA kwa bahati mbaya sana sifahamu ila ni kati ya Laki 8 na haizidi 1.5M hasa kwa mchepuo wa sanaa
Anaitaji day au boardingKwa anaejua shule nzuri za advance (private) kwa mkoa wa Mwanza naomba anisaidie majina ya shule husika, ada, pamoja na mahali zinapopatikana (mitaa).
NB: Mwanafunzi anayetafutiwa shule ni jinsia ya kiume na ana ufaulu wa Hist-C, Geog-C, Languange-C, Kiswahili-C.
Natanguliza shukrani.
[*]boarding mkuu magelei
[*]
[*]boarding mkuu magelei
[*]