black chinese
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 1,148
- 1,229
Yeah ni kweli ndio maana najiita bwege kama yule mwenzangu aliyetapeliwa pesa ya TV...Wewe wacha uduwanz usinipake matope. Pc nimekuuzia kabla ya kutoa hela umeichek zaid ya lisaa , umeridhika nayo tena nikakueleza nauza pc sababu kadha wa kadha, ukaielewa, matatzo madogo madogo nakumbuka nilikuambia kabisa haika na chaji muda mref.. Vingine vyote safi.. Umenipa mpunga wangu, nmeondoka baada ya wiki mbili ndio unaniambia pc sijui spika mbiv sijui takataka gani, ingekuwa wewe ungekubali ningetaka kukutapeli ningekwambia njoo nyumbani tufanye biashara ili likitokea lolote uje mpaka home ukagoma ukasema tukutane eneo...
Niuzie mimi kwa hyo laki moja basi, ongea maneno kuendana na umri wako sio unaropoka tuu..![]()
![]()
![]()
But nimekuita mnafiki kwa kauli yako ya kusema huwa unajiuliza utampata wapi bwege wa kumpiga?? Wakati ulishanipata babu yako ukanipiga pesa ya kiwanja.....na maisha yanaendelea.