CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,461
Inauma sana mkuu.daah inasikitisha Sana kwa ukatili uliofanyiwa
Ukute aliyemfunga ye anagawa kama pipi huko aliko.
Inauma sana mkuu.daah inasikitisha Sana kwa ukatili uliofanyiwa
😁😁Huna pesa usituchanganye mzee. Wenye pesa saa 6 wamelala hawana stress kama mimi nawewe.
Kwa kukusaidia tu, kula nyeto za hapa na pale hadi akili ikukae Sawa.
Tafuta mganga wa tiba haraka SanaInauma sana mkuu.
Ukute aliyemfunga ye anagawa kama pipi huko aliko.
Ujue mzee Africa ni sie ni masikini sana tena sana na ndo mana mpaka wazungu wanatuhurumia ama wanatucheka why masikini na kila kitu tunacho.Huna pesa usituchanganye mzee. Wenye pesa saa 6 wamelala hawana stress kama mimi nawewe.
Kwa kukusaidia tu, kula nyeto za hapa na pale hadi akili ikukae Sawa.
Sio kweli, vitu vitatu ambavyo kiumbe yeyote akivikosa anapata madhara hata kufa NiMkuu ni vitu vitatu tu binadamu akivikosa alanaweza kupata madhara kiafya hata Kufa,
1. Chakula
2.Mavazi
3.Malazi
Heshimu ndoa yako bro, ngono sio hitaji la msingi kwa binadamu, mpende na mheshimu mkeo. Analea watoto wako kumbuka
Hujakoma tu pamoja na kuomba msamahaa? Acha uzinzi mkuu!Habari Wana JF
Ninaishi na mke wa watoto wetu wadogo ambao ni mapacha Wana mwaka mmoja
Nmekuja hapa kuomba msaada baada yakuona Kuna mambo hayaniendei sawa tofauti na mwanzo. Nilipooana na huyu mke wangu mambo yalikua vizuri tu Hadi mwezi wa 10 mwaka huu mambo yakabadilika baada ya yeye kuziona mesej za mwanamke mwingine kwenye sim yangu, kwel nikiri lilikua ni kosa nilijitahidi Sana kumuomba msamaha akakubali kunisamehe lakin ikawa haiishi wiki lazima akumbushie, ugomvi unaanza upya kati yetu ,mambo yakawa ni hivo tu Hadi nilipoondoka kwenda mkoa mwingine kikazi ambako ndio nipo Hadi sasa
Baada ya kufika huku naona Kuna mambo hayapo sawa kabisa kwenye maisha yangu tofauti na mwanzo,hasa kwenye sekta ya mapenzi,Nahisi huyu mke wangu amenifunga nisiweze kupata mwanamke yoyote wa kufanya nae mapenzi ,ni kweli nomeoa Ila nipo Safari mwezi mmoja na nusu Kama mwanaume ambae Nina hisia lazima nipate kipozeo kidogo ,lakini imekua tofaut kabisa Hadi leo Kila nitako jaribu sipati kitu
Nikasema labda nijaribu basi kwa wanaojiuza nako mambo ni yaleyale hamna nilichopata, licha ya kwamba pesa kidogo zipo lakin Kila sehem natolewa nje
Naomben msaada wa ushauri nifanye Nini, maana Nahisi Kama mke wangu kanifunga nyota kishirikina ili nisiweze kupenzika ,mpaka niwe na yeye tu
Au Kama Kuna mtu amewahi kupitia ishu Kama hii alifanyaje kujiokoa
nami nahitaji kufungwa mkuu, nipe namba ya bi mkubwa anielekeze kwa mtaalam wakeHabari Wana JF
Ninaishi na mke wa watoto wetu wadogo ambao ni mapacha wana mwaka mmoja.
Nimekuja hapa kuomba msaada baada ya kuona kuna mambo hayaniendei sawa tofauti na mwanzo. Nilipooana na huyu mke wangu mambo yalikuwa vizuri tu hadi mwezi wa 10 mwaka huu mambo yakabadilika baada ya yeye kuziona meseji za mwanamke mwingine kwenye simu yangu, kweli nikiri lilikuwa ni kosa nilijitahidi sana kumuomba msamaha akakubali kunisamehe lakini ikawa haiishi wiki lazima akumbushie, ugomvi unaanza upya kati yetu ,mambo yakawa ni hivo tu hadi nilipoondoka kwenda mkoa mwingine kikazi ambako ndio nipo hadi sasa.
Baada ya kufika huku naona kuna mambo hayapo sawa kabisa kwenye maisha yangu tofauti na mwanzo hasa kwenye sekta ya mapenzi. Nahisi huyu mke wangu amenifunga nisiweze kupata mwanamke yeyote wa kufanya nae mapenzi.
Ni kweli nimeoa Ila nipo safari mwezi mmoja na nusu kama mwanaume ambae nina hisia lazima nipate kipozeo kidogo ,lakini imekuwa tofauti kabisa hadi leo kila nitakojaribu sipati kitu.
Nikasema labda nijaribu basi kwa wanaojiuza nako mambo ni yale yale hamna nilichopata, licha ya kwamba pesa kidogo zipo lakini kila sehemu natolewa nje.
Naombeni msaada wa ushauri nifanye nini, maana nahisi kama mke wangu kanifunga nyota kishirikina ili nisiweze kupenzika ,mpaka niwe na yeye tu.
Au Kama kuna mtu amewahi kupitia ishu kama hii alifanyaje kujiokoa.
Habari Wana JF
Ninaishi na mke wa watoto wetu wadogo ambao ni mapacha wana mwaka mmoja.
Nimekuja hapa kuomba msaada baada ya kuona kuna mambo hayaniendei sawa tofauti na mwanzo. Nilipooana na huyu mke wangu mambo yalikuwa vizuri tu hadi mwezi wa 10 mwaka huu mambo yakabadilika baada ya yeye kuziona meseji za mwanamke mwingine kwenye simu yangu, kweli nikiri lilikuwa ni kosa nilijitahidi sana kumuomba msamaha akakubali kunisamehe lakini ikawa haiishi wiki lazima akumbushie, ugomvi unaanza upya kati yetu ,mambo yakawa ni hivo tu hadi nilipoondoka kwenda mkoa mwingine kikazi ambako ndio nipo hadi sasa.
Baada ya kufika huku naona kuna mambo hayapo sawa kabisa kwenye maisha yangu tofauti na mwanzo hasa kwenye sekta ya mapenzi. Nahisi huyu mke wangu amenifunga nisiweze kupata mwanamke yeyote wa kufanya nae mapenzi.
Ni kweli nimeoa Ila nipo safari mwezi mmoja na nusu kama mwanaume ambae nina hisia lazima nipate kipozeo kidogo ,lakini imekuwa tofauti kabisa hadi leo kila nitakojaribu sipati kitu.
Nikasema labda nijaribu basi kwa wanaojiuza nako mambo ni yale yale hamna nilichopata, licha ya kwamba pesa kidogo zipo lakini kila sehemu natolewa nje.
Naombeni msaada wa ushauri nifanye nini, maana nahisi kama mke wangu kanifunga nyota kishirikina ili nisiweze kupenzika ,mpaka niwe na yeye tu.
Au Kama kuna mtu amewahi kupitia ishu kama hii alifanyaje kujiokoa.
Wewe ni lofa, una umri gani kwanza ??, yawezekana tunaongea na matoto yamemaliza chuo juzi