smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,066
+26653156505 Ongea nae umshauri nimeshindwa kuwaelewa hawa watu. Kwani kaka wewe una mke?Mpuuzi sana wewe yaani unataka tukushauri umalaya. Nipe namba ya mkeo nimshauri akufunge mpaka kuongea.
+26653156505 Ongea nae umshauri nimeshindwa kuwaelewa hawa watu. Kwani kaka wewe una mke?Mpuuzi sana wewe yaani unataka tukushauri umalaya. Nipe namba ya mkeo nimshauri akufunge mpaka kuongea.
wanawake hamna hurumaKama umefungwa kwa eneo hilo basi ni jambo jema sana! Kifungo na kiendelee tu Hakuna namna!
wanawake hamna huruma
😆😆😆Habari Wana JF
Ninaishi na mke wa watoto wetu wadogo ambao ni mapacha wana mwaka mmoja.
Nimekuja hapa kuomba msaada baada ya kuona kuna mambo hayaniendei sawa tofauti na mwanzo. Nilipooana na huyu mke wangu mambo yalikuwa vizuri tu hadi mwezi wa 10 mwaka huu mambo yakabadilika baada ya yeye kuziona meseji za mwanamke mwingine kwenye simu yangu, kweli nikiri lilikuwa ni kosa nilijitahidi sana kumuomba msamaha akakubali kunisamehe lakini ikawa haiishi wiki lazima akumbushie, ugomvi unaanza upya kati yetu ,mambo yakawa ni hivo tu hadi nilipoondoka kwenda mkoa mwingine kikazi ambako ndio nipo hadi sasa.
Baada ya kufika huku naona kuna mambo hayapo sawa kabisa kwenye maisha yangu tofauti na mwanzo hasa kwenye sekta ya mapenzi. Nahisi huyu mke wangu amenifunga nisiweze kupata mwanamke yeyote wa kufanya nae mapenzi.
Ni kweli nimeoa Ila nipo safari mwezi mmoja na nusu kama mwanaume ambae nina hisia lazima nipate kipozeo kidogo ,lakini imekuwa tofauti kabisa hadi leo kila nitakojaribu sipati kitu.
Nikasema labda nijaribu basi kwa wanaojiuza nako mambo ni yale yale hamna nilichopata, licha ya kwamba pesa kidogo zipo lakini kila sehemu natolewa nje.
Naombeni msaada wa ushauri nifanye nini, maana nahisi kama mke wangu kanifunga nyota kishirikina ili nisiweze kupenzika ,mpaka niwe na yeye tu.
Au Kama kuna mtu amewahi kupitia ishu kama hii alifanyaje kujiokoa.
MkuuWanaume wa jf leo wanajifanya watakatifu eti na wao sio wazinzi
Unahangaika kutafuta ugonjwa ili ulete kwa mkeolabda nijaribu basi kwa wanaojiuza
Kwahiyo ndio mkaamua mumseme mwenzenuMkuu
jamaa anazingua watu wanaomba nao wafungwe kama yeye but ndo kwanza anataka kujua namna ya kujitoa kwenye kifungo?
Sio kweli, vitu vitatu ambavyo kiumbe yeyote akivikosa anapata madhara hata kufa Ni
1 hewa
2 maji
3 chakula
How alilie kutenda kosa?tumezoea kuona kosa kutendeka kwa bahati mbaya sasa yeye yupo hapa analalamika kabisa kwamba “kwanini siwezi kufanya makosa”.Kwahiyo ndio mkaamua mumseme mwenzenu
Eti jamaa kasema binadamu anaweza kufa kama akikosa pa kulala