Msaada; Mwenza wangu anaandamwa na magonjwa mara kwa mara

Mpeleke India achana na madaktari wa kibongo hawatakagi kujishughulisha na issues challenging.
 
Maombi yanatakiwa, kasukumiwa kitu huyo na milivyokuwa mnaringa kwa mapenzi mubashara kapewa kitu na kuwa makini sana unaweza kumkosa hivihivi maana hio hali si ya kawaida!!!!!
 
La kwanza Maombi
La pili kuna mjumbe hapo juu kaongelea kuhusu kupima Shinikizo la damu na sukari na Kuongezea juu ya hilo apime na HB(Uwingi wa damu) damu ikiwa chini anawezapata hzo dalili na ikiwa juu the same same pia.

Anza na vipimo vidogo kwanza
Poleni sana ndugu.
 
Hamna kitu kinaitwa kulogwa tuache ujinga.

Kujibiwa kuwa hawaoni tatizo mara nyingi ni kuwa uwezo umegota.. na haimaanishi kuwa Mgonjwa amelogwa.

Kuna siku nimeangalia makala moja ya kijerumani ya medical, walikuwa wanaonyesha jinsi walivyotafuta tatizo kwa Mgonjwa aliyeteseka kwa muda mrefu na hatimaye waligundua kuwa matatizo yake yanasababishwa na alergy (ni muda kidogo sikumbuki vizuri sana chanzo cha ile alergy/mzio )

Kwa matatizo aliyokuwa anapata yule Mtoto na jinsi Madaktari walivyokuwa wanahangaika usiku na mchana,na ile mitambo waliyokuwa nayo pale maabara...nikajiuliza swali moja, hivi Mtoto yule huku Bongo si mtaambiwa tu hatuoni tatizo na biashara inaishia hapo?
 
Habari za majukumu ya siku nzima na poleni na ugumu wa uchungu wa maisha, Kama kichwa tajwa hpo juu naomba msaada juu ya mweza wangu ambae nimedumu nae mwaka wa tatu huu, tangu mwaka 2017 umeanza huyu nnaetarajia awe mke wangu afya yake imekaa vibaya amekuwa mtu wa kuandawa na magonjwa ya mara kwa mara.

Tumezunguka hospitali zote , ikabidi tujarbu upande wa tiba za asili lakini bado hajapona ingawa tumeambiwa amechezewa kishirikina mahala pake pa kazi.

Kikubwa zaidi kichwa na kizunguzungu na saa nyingine mapigo ya moyo yanamuenda mbio sasa na mwezi wa sita unakaribia juu ya hili tatizo lake.

Naombeni mwenye tiba au ushauri aniapatie nini kifanyike huyu binti apone.

Ahsanten sana
Kwanza uko wapi hapa nchini
 
Kama hospital na kwenye tiba asili imeshindikana, njia pekee ambayo ni jibu tosha la tatizo ni kwenda kwenye maombi, ila huyo mwenza wako mtarajiwa awe na imani kuwa atapona! Asipokuwa na imani hatapona!
 
ahsanteen sana wakuu kwa mawazo yenu mazurii, nadhan nimefikia kutoa tamko juu ya huyuu shemej yenu/wifi yenu , kwakua anaptia kipind hich kigumu ni muache bila kumuumiza na nijikite kwnye mambo mengine ya kukuza uchumi wangu mpaka pale majaaliwa ya mola atakapo pona na kama itakuwa bhati yangu yangu ntaendelea nae kma haitakuwa ivyo n mipango ya mungu ahsanteeni sana.
 
Yesu kristo ndo mponyaji pekee aliyebaki kwasasa,mpeleke Kwa mungu,mungu anaweza yote achana waganga wa kienyeji watakumalizia hela mkuu.mpeleke kwenye maombi Kwa imani mungu atamponya.
 
Kama hospital na kwenye tiba asili imeshindikana, njia pekee ambayo ni jibu tosha la tatizo ni kwenda kwenye maombi, ila huyo mwenza wako mtarajiwa awe na imani kuwa atapona! Asipokuwa na imani hatapona!
Ni kweli asipokuwa na imani hawez kupona,hili nimedhibitisha kabisa nilikuwa na mgonjwa yeye haamini kama anaweza kuombewa akapona matokeo yake ameenda Kwa waganga mwaka umeisha wanamlia hela tuu.
 
Mambo ya mila nayo yanahitajika (Tambiko) kama haujatoa mahari nenda ukatoe mkuu. Na uhakikishe imefwatilia taratibu zote zakimila. Muwe mnaangalia na familia zakwenda kuowa!!
 
Back
Top Bottom