Mkuu wiring imeshafanyika ya kawaida sasa sijajua kama itaendana na mfumo wa DC. Kwahiyo nilikuwa nafikiri itabakia AC.
Sent from my iPhone using JamiiForums
kama umesha fanya wiring ya kawaida ni vema ukaweka mfumo wa taa za dc utakusaidia hata ukiwa na umeme wa tanesco umeme kwa sababu taa za dc zinatumia umeme mdogo sana pia utakua na uhakika wa taa kuwaka zaidi ya 12hrs, km bajeti ndogo unaweza kutumia wiring iliyopo bt tafuta taa za ac 7wats and below, umeme utawaka na kwa vifaa vyako utapata umeme kwa 5hrs, sababu inveter inapofanya kazi yenyewe inatumia nguvu nyingi sana. ndo maana tunashauri itumiwe kwa tv na redio kwakua vifaa hivi havitumiki zaidi ya 6hrs
Ninazo Tv za solar 4w
pasi za Solar 6w
Bulb za solar 1w,2w,3w
na vifaa vyote vya solar kwa anaetaka tuwasiliane
ushanunua ndio waomba ushauri au? kia battery ikiwa kubwa ndio unapata storage kubwa. na utatumia muda mrefu usiku. ukiwa ushanunu battery waweza nunua nyengine kisha kuziunganisha in parallel. inverter chini ya watt 300 utijizingua mwenyeweKatika harakati za kupangiwa vituo vipya vya kazi nilijikuta nimepangiwa sehemu isiyo na umeme imenibidi kununua solar panel wat 50,betri N70 na invetor SI 150 sasa hapa nataka kuchukua tv flat screen inch 18 ila nina wasiwasi kama itaweza kuumudu moto huu.Naomba kwa mtu mwenye uelewa juu ya hili anijuze