Katika harakati za kupangiwa vituo vipya vya kazi nilijikuta nimepangiwa sehemu isiyo na umeme imenibidi kununua solar panel wat 50,betri N70 na invetor SI 150 sasa hapa nataka kuchukua tv flat screen inch 18 ila nina wasiwasi kama itaweza kuumudu moto huu.Naomba kwa mtu mwenye uelewa juu ya hili anijuze