Msaada: Mwanangu amebakwa na aliyembaka amekimbia

Msaada: Mwanangu amebakwa na aliyembaka amekimbia

msigazi

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
471
Reaction score
351
Habari za saa hii

Naomba kusaidiwa mwanangu wa kike amebakwa na mtu bahati mbaya mtu huyo aliyembaka amekimbia. Nimechukua PF3 polisi nikampeleka zahanati nimeambiwa huduma atapatiwa kesho asubuhi asioge wala kubadili nguo.

Nauliza hiyo haiwezi kumletea madhara kiafya maana hajapimwa kipimo chochote?

Naomba usaidizi kwa madaktari.
 
haujatuambia huyo mwanao ana umri gani na umejuaje kama kabakwa.
maana vipimo vya awali kwa mtu aliyebakwa ni rahisi katika hospitali ya level yoyoye.

1. physical examination- daktari hapa ataangalia kama kuna michubuko sehemu za siri na mbalimabli za mwili , kama ganda la bikra( Hymen) bado lipo, na atangalia kama kuna mabaki ya sperm

2, kuchukua sampuli za maabara na kwa ushahidi ikiwa mambo yatafika mahakamani
- uchunguzi wa mbegu za kiume (Sperm analysis)
- Vipimo vya mimba
-vipimo vya maambukizi ya HIV ( Hapa atapima ili ku rule out kwamba huyo mtoto hakuwa na HIV)
 
so sad, mbona mademu kibao mtaani sijui inakuwaje mtu anamamani mtoto, akipatikana huyo bazazi anyongwe
 
Mbona wanawake wengi sana. Tena katika msimu huu hata hutongozi. Inakuwajee unabaka?
 
Back
Top Bottom