jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,128
- 8,648
habari wadau
ninatumia laptop but pia huwa ninatumia sana desk top yangu naweza kusema hii desktop ndo yenye vitu vyngu vingi sana vya kiofisi na ndo huwa napenda sana kuitumia.
TATIZO
jana wakati naitumia desktop yangu mara ghafla tu ikazima lakini taa ya power inawaka lakini fen haizunguki toka jana mpka leo kila nikichomoa waya na kuurudsha inawaka taa tu but fan haizunguki na haiwaki je nini tatizo na solution yake.
ahsanteni
ninatumia laptop but pia huwa ninatumia sana desk top yangu naweza kusema hii desktop ndo yenye vitu vyngu vingi sana vya kiofisi na ndo huwa napenda sana kuitumia.
TATIZO
jana wakati naitumia desktop yangu mara ghafla tu ikazima lakini taa ya power inawaka lakini fen haizunguki toka jana mpka leo kila nikichomoa waya na kuurudsha inawaka taa tu but fan haizunguki na haiwaki je nini tatizo na solution yake.
ahsanteni