James_patrick_
Senior Member
- Mar 20, 2017
- 106
- 194
Hivi mtu akisema nina mwanasheria wangu ina maana anakuwa amemuajiri na anamlipa hata kama hajapata majanga au mpaka apate tatizo ndio akitetewa mahamani baada ya hapo ndio anamlipa?
Sasa hapo umenijibu au umeniuliza?kwani ukisema una mwalimu wako, unakuwa umemwajiri
au ukiwa na daktari wako unakuwa umemwajiri
Unajibiwa kupitia maswali, usiwe mbishi au wewe ni Muha?Sasa hapo umenijibu au umeniuliza?
Asante sanaHata wa kampuni tunawalipa accordingly. Unamlipa pale unapomuhutaji ila ni minimum kuwa na mmoja wa Kumuamini
Oh asante sanaUnamlipa pale utakapomtumia kwenye issue zako.
Upo mkoa gani? Nikuunganishe na mwanasheria na wewe uwe na mwanasheria wakoOh asante sana
Hahaha..nipo dar ila mm sina matatizo na watu..labda litakapotokea..nitakutafuta asante sana .😊Upo mkoa gani? Nikuunganishe na mwanasheria na wewe uwe na mwanasheria wako
Tuombe radhi waha tafadhali mkuu 🤪Unajibiwa kupitia maswali, usiwe mbishi au wewe ni Muha?
Sasa kabla halijatokea unatakiwa umuulize kwanza mwanasheria wako😂😂Hahaha..nipo dar ila mm sina matatizo na watu..labda litakapotokea..nitakutafuta asante sana .😊
Hahaha sawa nitafanya hvyo rafik yanguSasa kabla halijatokea unatakiwa umuulize kwanza mwanasheria wako😂😂
Asante kwa madiniKuna mwanasheria anayejitegemea na mwanasheria aliyeajiriwa huyo anayejitegemea [amejiajiri) ndio unaweza kufanya naye kazi ukasema ni mwanasheria wako.
Mijini kijana lazima uweHivi mtu akisema nina mwanasheria wangu..ina maana anakuwa amemuajiri na anamlipa ata kama ajapata majanga au mpaka apate tatizo ndio akitetewa mahaman baada ya hapo ndio anamlipa?
Jitahidi Sana upate pia kibaka mmoja, those guys wako very smart, hakuna kibaka mjinga! Yaani ikitokea siku umeibiwa atajua Tu Hadi mtaa aliotoka.Mijini kijana lazima uwe
1.polisi wako hakikisha ana cheo hapa mafala yatabisha ila uwe mtu wa mishemishe lazima uwe na polisi wako
2 .daktari wako hapa serikalini na private kote kuwa nao
3.mwanasheria wako muhimu
4.dalali wako ..
5.bodaboda wako wa kumuamini kumtuma kazi za maana
6.mtu wa mtaani mmoja...huyu ni kijana au mlevi wa mtaani muhimu sana unapiga nae story mara moja moja akupe mtaa unaendaje huwa wana data nyingi hapa hata kama mkeo anagongwa utajua
5.jirani yako..... hakikisha hata kama una hela vipi jirani ni kapuku kuwa na urafik nae muhimu hata kama umesoma vp mpende jirani yako hata awaje mahusiano yawe mazuri ila yasiwe na mazoea utanishukuru baadae
6.mjini lazima uwe number hata kiongozi mmoja tu .... ukipata shida unaweza tishia....mfano kwa hiyo nimpigie wazir mkuu muongea nae nyie mapolisi.......huu mfano tu ....ila tafuta urafik na viongozi kadhaa hata wa mtaa tu basi wenyeviti au madiwani yaani usikae tu kizembe pumbavu simu imejaa maboya tu weka hata number za tanesco basi mtaani umeme ukikatika uwe unafokea kama mimi huku gobA