Msaada: mpenzi wangu hajui mapenzi nifanyaje ?

Msaada: mpenzi wangu hajui mapenzi nifanyaje ?

lusevya

Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
30
Reaction score
12
Msaada jamani demu wangu hajui mapenzi hasa tuwapo kitandani yaani hajui afanye nini kwan hadi nimuulekeze mimi na hadi nikitaka kumla denda hajui tu kama atakiwa kutoa ulimi bali yeye analeta midomo yake kwangu tu na kupelekea meno kugongana ila kwa kweli ninampenda hasa kwa uzuri wake wa sura na na chura yake sasa jamani mnishauri nifanyeje?
 
Msaada jaman dem wangu hajui mapenzi hasa tuwapo kitandani yaan hajui afanye nn kwan hadi nimuulekeze mm na had nikitaka kumla denda hajui tu kma atakiwa kutoa ulimi bali yy analeta midomo yake kwangu tu na kupelekea meno kugongana ila kwa kweli ninampenda hasa kwa uzuri wake wa sura na na chura yake sasa jaman mnishauri nifanyeje???????
hili nalo linahitaji dr..?!,
kwanza furahi kupata wa hivyo, pili mfundishe mwenyewe bila tumwonea aibu na umfanye naye asione aibu maana ni kujifunza,
 
Hayo Ndio Maumiv Ya Kimapenz Ndugu Yangu....???

Kweri Nimeamin Watu Wanatofautiana Maumiv Ya Mapenz

Ngoja Waje Wenzako Watakwambia Nin Maana Harisi Ya Mapenz
 
wanaume wa cku hiz bwanaa eeet maumivu ya mapenz, hiv mkuu ushawah patwa na maumiv ya mapenz kwel.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mfundishe tena una bahati umempata mshamba i mean mgeni gemuni sisi huku tuna majini wakata kamba wanatupasua kichwa *****@ mama sabrina
hahahahahah aiseee
 
Nitumie namba yake na picha yake nione kama analipa nitakusaidia bila hata senti tano kumfundisha kwa vitendo, mimi msamaria mwema
Aaaaa kirahisi hivyo Mmmmmhhhhh
Msaada jamani demu wangu hajui mapenzi hasa tuwapo kitandani yaani hajui afanye nini kwan hadi nimuulekeze mimi na hadi nikitaka kumla denda hajui tu kama atakiwa kutoa ulimi bali yeye analeta midomo yake kwangu tu na kupelekea meno kugongana ila kwa kweli ninampenda hasa kwa uzuri wake wa sura na na chura yake sasa jamani mnishauri nifanyeje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom