Msaada: mpenzi wangu hajui mapenzi nifanyaje ?

Msaada: mpenzi wangu hajui mapenzi nifanyaje ?

Msaada jamani demu wangu hajui mapenzi hasa tuwapo kitandani yaani hajui afanye nini kwan hadi nimuulekeze mimi na hadi nikitaka kumla denda hajui tu kama atakiwa kutoa ulimi bali yeye analeta midomo yake kwangu tu na kupelekea meno kugongana ila kwa kweli ninampenda hasa kwa uzuri wake wa sura na na chura yake sasa jamani mnishauri nifanyeje?
Kwa maelezo yako, umeshaanza kumfundisha.
 
Kujua kwako na kutokujua kwake
coz unahisi kuwa unajua but ni kwa level yako
utakutana na mwingine nae atakuona wa kuja tu
Huna lolote na wala hujui chochote
Nyie ndiyo mnafanya as if unachimba shimo
Mijasho kibao mithili ya mvua
Sasa
Kila siku tangu Alhamis na jana Ijumaa kuna kipindi Dstv channel inaitwa TLC
Kuanzia saa 6:00 usiku hadi saa 6:55 usiku
Kipindi kinawahusu wewe na huyo unaemuita mshamba wa mapenzi
Kipindi kinaitwa SEX HOSPITAL
Leo itakuwa ni Epsode ya 3
 
Najua kuwafundisha nipe week tu atakua kanyooka.. Ni PM namba yake
 
Unatangaza tebder watu wakufundushie? Subiri utawapata lakini usije tena kulalamika humu kua mkeo anakuonyesha mashamsham hujawahi ona na hujui kajifunzia wapi na unataka kumpa talaka
 
Mi mbona huyo demu wako namjua, hana hata chura unamsimanga tu bure mtoto wa watu
 
Acha ubwege dg katika mambo hay hutakiw kujilegeza ww msugue kila sik muonyesh mautundu ataelew tu ss wenzako tumekutan na madem wa aina hiy unatakiwa ukish ingia stejin umpe daras kwanza
 
Hongera kwa kumpata huyo mfundishe tu
 
Msaada jamani demu wangu hajui mapenzi hasa tuwapo kitandani yaani hajui afanye nini kwan hadi nimuulekeze mimi na hadi nikitaka kumla denda hajui tu kama atakiwa kutoa ulimi bali yeye analeta midomo yake kwangu tu na kupelekea meno kugongana ila kwa kweli ninampenda hasa kwa uzuri wake wa sura na na chura yake sasa jamani mnishauri nifanyeje?
Anakuzuga tu huyo ni gwiji.
 
Umri wako na wa mpenzi wako plz? Aliyewaruhusu kufanya mapenzi kabla ya ndoa ni nani?
hahaaaaa sio tatizo hilo sema kuna madada wanajifanya masister du kumbe kitandan hawajui chochote ndio kinachooniuma mm
 
wanaume wa cku hiz bwanaa eeet maumivu ya mapenz, hiv mkuu ushawah patwa na maumiv ya mapenz kwel.
Ndio hayo au maana nataman kumuuacha sema ninampenda bas ndio nabaki kuumia tu maana sina uwezo wa kumuucha hata kama anamapungufu hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom