Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Utoto utoto tu, loh!!!
Utoto utoto tu, loh!!!
nitumie PM nikupe maelekezo wapi nilipo,nachora tattoo sehemu yoyote ya mwili.
umeona ehee! Eti kumfurahisha? Ili iweje wakati ana wengine wa kumfurahisha?
Hujaelewa hata hoja unayobishia, nilisema michoro mingine inayochorwa inaita mashetani. Yaani wewe unaweza kujikuta umependa tattoo fulani na kile kitendo cha kujichora unakuwa umejipiga mhuri na umeingia mkataba na majini na mashetani. Tattoo za nyoka na zingine zinaweza kukuweka matatizoni. Sijasema wenye majini wote wana tattoo, ila tattoos zinaweza kuwa ndio moja ya vibali vya hayo mashetani kukuingia. Angalia video ya kwanza hiyi katika hizo link kuna dada anafanya umalaya akiyatumikia mashetani kuharibu maisha ya wanaume anaowafuata, yamesema yenyewe wameingia covenant nae kwa tattoo kiunoni na amesema mwanaume akiiona anamfuata tu.