Akili yako haielewi, naona nikuache hivyo hivyo mpk utakapofunguliwa. Unachoweka mwilini mwako na kilichochorwa kwenye pesa, logo na majengo havina uzito sawa kwako as ana individual. Nimeweka ile video ili uelewe ila naona hujaangalia, ungeangalia usingekuwa na swali wala usingejibu majibu ya wanaume kutamani viuno kirahisi hivyo.
Kwa taarifa yako (FYI) sijasimuliwa nimeona, angalia video uone.
Shetani anawatumia watu wengi tu so sishangai wewe kutumia nguvu kupinga na kubishia kitu chenye kuongelewa kawaida tu kama onyo. Mi nimeonya sijasema kila mchoro wa tattoo unafanana ila kwa sababu unaweza usijue kutofautisha ni vema uwe makini usipatwe na matatizo.
dada yangu ukiingia jamii formus usisahau kuwa unajiunga na watu wenye kufikiri zaidi ya uwezo wa kawaida au uwezo uliozoeleka....natumai nawe ni great thinker...ndio maana nimekuba majibu ya kisayansi....wewe umengangania ushahidi wa video uliyoitoa youtube....
video nazo zinatengenezwa na pia zinztengenezwa kwa malengo maalumu...unatakiwa ujuwe au uelewe zaidi ya hayo u nayowekewa kwenye video...ndio maana nikakuambia mwanzo kabisa do not believe in everything you READ, HEAR OR SEE...that everything is REAL...some other things are FABRICATED to suite a certain type of audience.
haya jibu maswali yangu yafuatayo
1- shetani ni nani?
2- jini au majini ni nani?
3- unaweza kuleta ushahidi wa kisayansi juu ya uwepo wa shetani na majini?
4-tatoo inatofauti gani na picha iliyochorwa kwenye canvas au hata karatasi au ukuta?
5- kama ni kweli tatoo zinavuta au kuleta mashetani je ni kweli kuwa kila sehemu iliyochorwa picha inatakiwa iwe na mashetani?
hisia zangu ni kuwa wewe ni mmoja kati ya hawa tunaowaita walokole..au born again christians....tafadhali usitenganishe dini na uwezo wa kufikiri kisayansi....unaweza kukutwa na yaliyowakuta wafuasi wa kibwetere.
thanks again....for this i do care..yes i do.
Sayansi inaprove vinavyogundulika na five senses tu, mimi ni mwana sayansi. Ila nina bahati nimeona the spiritual side of things, scientific evidence is not the same as spiritual evidence. You can't prove the spiritual using science, but the physical world result from the unseen/spiritual side of things.
Kama kweli unataka kujua sio for the sake ya kubishana tu PM me.
Mi nimeonya tu, the spiritual world is ruled by symbolism.
nitumie PM nikupe maelekezo wapi nilipo,nachora tattoo sehemu yoyote ya mwili.
PesaNdogo swali la kizushi...mbona avatar yako ni zaidi ya tatoo...huoni kama unatukwaza waja wa mwenyezi mungu?
Mzee wa BMW kumbe na kwenye tattoo upo pia!! lol
dada yangu ukiingia jamii formus usisahau kuwa unajiunga na watu wenye kufikiri zaidi ya uwezo wa kawaida au uwezo uliozoeleka....natumai nawe ni great thinker...ndio maana nimekuba majibu ya kisayansi....wewe umengangania ushahidi wa video uliyoitoa youtube....
video nazo zinatengenezwa na pia zinztengenezwa kwa malengo maalumu...unatakiwa ujuwe au uelewe zaidi ya hayo u nayowekewa kwenye video...ndio maana nikakuambia mwanzo kabisa do not believe in everything you READ, HEAR OR SEE...that everything is REAL...some other things are FABRICATED to suite a certain type of audience.
haya jibu maswali yangu yafuatayo
1- shetani ni nani?
2- jini au majini ni nani?
3- unaweza kuleta ushahidi wa kisayansi juu ya uwepo wa shetani na majini?
4-tatoo inatofauti gani na picha iliyochorwa kwenye canvas au hata karatasi au ukuta?
5- kama ni kweli tatoo zinavuta au kuleta mashetani je ni kweli kuwa kila sehemu iliyochorwa picha inatakiwa iwe na mashetani?
hisia zangu ni kuwa wewe ni mmoja kati ya hawa tunaowaita walokole..au born again christians....tafadhali usitenganishe dini na uwezo wa kufikiri kisayansi....unaweza kukutwa na yaliyowakuta wafuasi wa kibwetere.
thanks again....for this i do care..yes i do.
Mambo ya Mungu hayawezi kuchanganywa na ya kisayansi...as long as you do not believe, you will not believe. It will take something greater than mtu kujibu hayo maswali yako ili uamini. I do not see anypoint in her/him answering your questions. Kila mtu anabelief zake, whether iwe Jf twitter etc.. if you don't believe, you just dont and as far as i can see, you wont believe whas she/he said today or tomorrow.
NAONA KAMA UMEDANDIA TRENI KWA MBELE.....JARIBU KUPITIA MLOLONGO MZIMA WA STORY HII NA ARGUMENTS ZANGU...KISHA NIONYESHE NILIPOSEMA SIAMINI.
KWA KUKUSAIDIA TUU....AM A VERY GOOD BELIEVER ABOVE ALL A GOD FEARING HUMAN BEING......BUT.....I DO READ AND LISTEN BETWEEN LINES AND WORDS.....najitahidi nisikose maarifa maana mungu wangu mie ananionya kuwa nitaangamia kwa kukosa maarifa....THE LIKES OF KIBWETERE FOLLOWERS.
YOU SOUNDS LIKE MDADA/MSICHANA....BUT NAKUOMBA USIWE UNACHOMOKA GHAFLA UNAWEZA KUSABABISHA AJALI....NOTHING PERSONAL AT OL....KIROHO SAFI NA USHAURI NASAHA UNAPATIKANA
mnhhhh...wee mwenzetu wa imani gani aisee?....mashetani yanaletwa na tatoo mwilini?....hiyo bibilia au koran ya wapi aisee.....nijuze please.
Finest
Yeye amejichora kwa ajili yako? kwanini asijichore yeye kwanza. michoro mingine kujichora chora unaalika mashetani mwilini mwako
NAONA KAMA UMEDANDIA TRENI KWA MBELE.....JARIBU KUPITIA MLOLONGO MZIMA WA STORY HII NA ARGUMENTS ZANGU...KISHA NIONYESHE NILIPOSEMA SIAMINI.
KWA KUKUSAIDIA TUU....AM A VERY GOOD BELIEVER ABOVE ALL A GOD FEARING HUMAN BEING......BUT.....I DO READ AND LISTEN BETWEEN LINES AND WORDS.....najitahidi nisikose maarifa maana mungu wangu mie ananionya kuwa nitaangamia kwa kukosa maarifa....THE LIKES OF KIBWETERE FOLLOWERS.
YOU SOUNDS LIKE MDADA/MSICHANA....BUT NAKUOMBA USIWE UNACHOMOKA GHAFLA UNAWEZA KUSABABISHA AJALI....NOTHING PERSONAL AT OL....KIROHO SAFI NA USHAURI NASAHA UNAPATIKANA
mkuu kwenye kila fursa huwa nipo.
Kwa Dar es salaam wapi wanachora tattoo ya muda mfupi kama zile ambazo ukitaka kuzitoa unazitoa baada ya mwaka mf na bei zao pleas nahitaj kumfurahisha babaa tattoo kiunoni.