Yeye amejichora kwa ajili yako? kwanini asijichore yeye kwanza. michoro mingine kujichora chora unaalika mashetani mwilini mwako
mnhhhh...wee mwenzetu wa imani gani aisee?....mashetani yanaletwa na tatoo mwilini?....hiyo bibilia au koran ya wapi aisee.....nijuze please.
ndo ilivyo, Angalia video hii kuanzia dk 28:10
https://www.youtube.com/watch?v=65j-ozMrA6c
Angalia huyu pia
https://www.youtube.com/watch?v=n8L7v7k1BA4
Kwa Dar es salaam wapi wanachora tattoo ya muda mfupi kama zile ambazo ukitaka kuzitoa unazitoa baada ya mwaka mf na bei zao pleas nahitaj kumfurahisha babaa tattoo kiunoni.
do not believe everything you read, hear or see is REAL....ila niambie umeyatoa wapi hayo ya tatoo na mashetani?....wamakonde ndonya na wagogo chale wanazojitia mwilini zinatofauti gani na tatoos?...mbona hawana mashetani?.....kwahiyo kila mwenye shetani/jini ana-tatoo mwilini?
just thinking aloud and out of the box....
Hujaelewa hata hoja unayobishia, nilisema michoro mingine inayochorwa inaita mashetani. Yaani wewe unaweza kujikuta umependa tattoo fulani na kile kitendo cha kujichora unakuwa umejipiga mhuri na umeingia mkataba na majini na mashetani. Tattoo za nyoka na zingine zinaweza kukuweka matatizoni. Sijasema wenye majini wote wana tattoo, ila tattoos zinaweza kuwa ndio moja ya vibali vya hayo mashetani kukuingia. Angalia video ya kwanza hiyi katika hizo link kuna dada anafanya umalaya akiyatumikia mashetani kuharibu maisha ya wanaume anaowafuata, yamesema yenyewe wameingia covenant nae kwa tattoo kiunoni na amesema mwanaume akiiona anamfuata tu.
dada yangu kuna vitu vipo wazi wala haviitaji darubini kuviona....niambie ni mwanaume gani akiona kiuno cha mwanamke tena bila hata ya kuwa na tatoo ataacha kukitolea udenda...naongea kama mwanaume...sie wanaume tunavutika na kushawishika kushiriki ngono kwa kuona tuu. na nyie hisia zenu za ngono zipo kwenye kuguswa kuliko kuona.
sasa hiyo tatoo ya kiunoni inaongezea mvuto wa ngono na wala sio jini wala maagano na majini ndio yanamfanya huyo malaya akamate waume za watu.
mwambie ajichore tatoo kila sehemu ya mwili ila avae baibui tuone kama hayo majini yatavuta wanaume waende kula naye tunda la mti kati......biashara matangazo na yule ni mfanya biashara.
think aloud my sister..... na usiamini kila kitu unachosimuliwa mpaka upate uthibitisho wa kisayansi. hoja yako ya tatoo kuleta majini bado haina mashiko kisayansi....fanya utafiti wako mdogo utagundua maeneo mengi ya hospitali au karibia hospital zote zilikuwa na logo yenye picha ya nyoka....unasemaje juu ya hilo?....au nikube jibu la kisayansi na kihistoria kidogo?....au unaamini kila shetani anakuwa represented na symbo au tatoo ya nyoka?
for now i care ....yes i do.