Cheef Baroka
JF-Expert Member
- Apr 28, 2019
- 491
- 1,000
Maskini! .. viatu hivi nimewahi kuvivaa najua uzito wake. Kinachoniuma zadi ukiwa kwenye hali hii huwa unaonekana kama kichaa flan iv yan hata ukimshaurisha mtu anakuchukulia mbili kasoro flani.
Solution: me nilitumia Imani zaidi kushinda hali hii.. nambie imani yako nikqambie chakufanya?. (Unaamini Mungu, Mizimu, Majini, asilia au Rasta)
Solution: me nilitumia Imani zaidi kushinda hali hii.. nambie imani yako nikqambie chakufanya?. (Unaamini Mungu, Mizimu, Majini, asilia au Rasta)