Olsea
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 452
- 250
Habari wadau wa jukwaa la Tech,juzi ilinyesha mvua kubwa na radi iliyopelekea umeme kukatika.Cha ajabu umeme ulivyorudi kwangu uligoma kabisa ikabidi kuwaita TANESCO kuangalia wakadai mita imeharibika mpaka kubadilisha kuwauliza watakuja lini kubadili sio chini ya siku 10..hapa nawaza namna ya kuishi siku zote hizo bila umeme na nipo likizo nyumbani,hakuna alyewah kutana na changamoto hii na je aliitatuaje?