kidume Akili
Member
- Jun 5, 2017
- 29
- 15
Wakuu na mchumba wangu nimempa ujauzito na nilikuwa na process za kufunga ndoa lkn nipo njia panda baada ya kumpeleka clinic kupimwa ukimwi na tukatoka salama wote shida ikatokea upande wa group za damu zimetofautia yy ana group -A afu Mimi group +A Sasa majibu niliyopewa na madokta yananipa wasi wasi mkubwa kuwa huyu mama Kuna uwezekano akapata shida wakati wa kujifungua eti kisa tumetofautiana hiizi group za damu nawaza sana naomba wataalamu wa masuala haya waje kunipa ufafauufa au mwenye uelewa wa jambo au ambaye alishakumbana na hiii situation tafadhali wanaJF.
Dr msaada wenu tafadhali
Dr msaada wenu tafadhali