Msaada: Mganga wa kienyeji anahitajika

Msaada: Mganga wa kienyeji anahitajika

Wako waganga wanaofanyia kazi swala la mtu na linarekebshika kabsa....siyo wote ni wahuni kama comment ilivyoandikwa!! Anyway kila mtu aamini kivyake sitaki kusahihishwa!!
Kama unamfaham mmoja wapo nielekeze mkuu
 
Waganga wapo as long as uchawi upo
Maalim abdal njoo pm nikupe namba zake. Anatibu kwa kitabu dawa za kisuna
 
Kama utaweza kupokea ushauri wangu... Pokea sasa! Hapa utakutana na Madalali wa ulozi tuu... Na kuishia kupigwa... Kama una tatizo serious liweke hapa nikusaidie bure... Huko unakotaka kwenda utaishia kupigwa na kuongeza tatizo
Asante sana kiongozi
 
Muone bingwa wa Ulozi, Mshana Jr. Kwa sasa atakuwa Chato kuzindua Fisi..
images.jpeg
 
Naona hili Tangazo la Biashara toka kwa mtu/Watu waliojaribu kujiandaa nyuma ya Pazia.....

Anatafutwa mtu hapa......
 
Asante sana kiongozi
Kwani huyo uliyemquaty comment yake inahitaji shukrani!?? Amekuambia liweke hapa tatizo lako usaidiwe bure kabisaa kuliko kwenda kupigwa! Hapa unatumia jina bandia huna haja ya kuogopa!
 
Usilete injili hapa tuna imani tofauti

Kwa anaefaham mganga yoyote wa kienyeji ambae ni FUNDI naomba anielekeze hata pm please, Nina shida tena kubwa sana na ni mda mrefu nateseka.
Awe maeneo ya dar,pwani au morogoro

Nitashukuru kwa msaada.asanteni
nipo hapa mkuu
 
Wako waganga wanaofanyia kazi swala la mtu na linarekebshika kabsa....siyo wote ni wahuni kama comment ilivyoandikwa!! Anyway kila mtu aamini kivyake sitaki kusahihishwa!!
Naifahamu hii tasnia vilivyo sio kwamba najisifia... Ukweli ni huu asilimia 90 ya waganga wanaangukia kwenye kundi hili
Wafanya mazingaombwe
Wabahatishaji
Waongo
Wababaishaji
Matapeli
Hawa watu huwa makini sana kukutafiti na kukufahamu vema... Ukifika kwake akakwambia njoo kesho umekwisha... Ukitoa mguu utafuatiliwa na mtu wake ama utaongozana na mtu atakayejifanya ni mgonjwa wake
Bila kufahamu kuwa unapelelezwa utafunguka yote na siku ya pili ukirudi utakuta mganga anayajua yote yanatokusibu na historia yako yote... Hapo lazima uingie kingi
Asilimia 80 ya hiki tunachoita kurogwa na ushirikina ni vitu vingine tofauti kabisa... Nakuwekea baadhi ya mada usome uone

 
 
 
 
Usilete injili hapa tuna imani tofauti

Kwa anaefaham mganga yoyote wa kienyeji ambae ni FUNDI naomba anielekeze hata pm please, Nina shida tena kubwa sana na ni mda mrefu nateseka.
Awe maeneo ya dar,pwani au morogoro

Nitashukuru kwa msaada.asanteni
Yaani ni Bora nikuelekeze Bar, kisha nikutafutie changudoa, kisha, kisha ukaua watu hata watano BAADO SHARI YA HAYA YOTE HAIFIKII SHARI YA KWENDA KWA MGANGA WA KIENYEJI, TENA SI LAZMA AKUTIBU SIJUI, LAH KULE KUMWENDEA TU
 
Back
Top Bottom