Msaada: Mganga wa kienyeji anahitajika

Msaada: Mganga wa kienyeji anahitajika

Best umeamkia huku 😂 😂


Nacheka san yaan...!dah..watu na imani zenu😂😂😂...kuna madogo fulan wakk kigamboni...ni waganga wa kienyeji..bas wakat huo hubby anasoma ..Wakawa wakishapiga madeal yao wanamuita mume wanagonga nyagi wote..yaa unaambiwa walikua wanamsimulia jamaa anabak haamini..unaambiwa kila mwanamkr anayeenda kwao lazima wamle..hapo anakua ana shida ya uzaz..baada ya muda mdada anakuwa ana mimba ..kumbe zao😂 ...wanatumia mabomba wameyachimbia chin ya ardhi ndo wanadai wanawasiliana n mizimu😂😂😂😙💃💃💃💃💃..nenden tu kwakwel
 
Nacheka san yaan...!dah..watu na imani zenu😂😂😂...kuna madogo fulan wakk kigamboni...ni waganga wa kienyeji..bas wakat huo hubby anasoma ..Wakawa wakishapiga madeal yao wanamuita mume wanagonga nyagi wote..yaa unaambiwa walikua wanamsimulia jamaa anabak haamini..unaambiwa kila mwanamkr anayeenda kwao lazima wamle..hapo anakua ana shida ya uzaz..baada ya muda mdada anakuwa ana mimba ..kumbe zao😂 ...wanatumia mabomba wameyachimbia chin ya ardhi ndo wanadai wanawasiliana n mizimu😂😂😂😙💃💃💃💃💃..nenden tu kwakwel
😂 😂😂 hawa watakuwa wamepata wateja wengi sana, sipati picha.😂😂😂
 
😂 😂😂 hawa watakuwa wamepata wateja wengi sana, sipati picha.😂😂😂


Unaambiwa kbl hWajaenda kukutana na mteja wanakunywa kwanza nyagi..so mwingine anakaa upande m1 anakua anaongea km mashwetwain vile yanavyoongea..hahaahha..wenyew kazi yao ni kununua njiwa..walikua wanaletewa kuku wanazila had ham inakata ..unaambiwa kigambon wamejaa balaa😂😂😂😂😂😂💃💃💃💃💃💃
 
Unaambiwa kbl hWajaenda kukutana na mteja wanakunywa kwanza nyagi..so mwingine anakaa upande m1 anakua anaongea km mashwetwain vile yanavyoongea..hahaahha..wenyew kazi yao ni kununua njiwa..walikua wanaletewa kuku wanazila had ham inakata ..unaambiwa kigambon wamejaa balaa😂😂😂😂😂😂💃💃💃💃💃💃
ngoja kwanza rafiki, naona umeninywesha chai asubuhi na mapema kabla hata sijapiga mswaki.
umesema walikuwa wanawala alafu wana wapa mimba? 😂
 
ngoja kwanza rafiki, naona umeninywesha chai asubuhi na mapema kabla hata sijapiga mswaki.
umesema walikuwa wanawala alafu wana wapa mimba? 😂



Mdada anakuja ana shida ya uzaz..ss anapewa dawa anaingiziwa sehem za siri...anatombw....baada ya mwezi mteja anakuja kushukuru amepata mimba (anaamini dawa imefanya kazi)upo?
 
Mdada anakuja ana shida ya uzaz..ss anapewa dawa anaingiziwa sehem za siri...anatombw....baada ya mwezi mteja anakuja kushukuru amepata mimba (aiaamini dawa imefanya kazi)upo?
sasa swali wanakuja wakiwa siku za hatari ama? yaani hapo ndipo nimeshituka it cant be a coincident (sijui nimepatia hicho kimalikia)?
 
sasa swali wanakuja wakiwa siku za hatari ama? yaani hapo ndipo nimeshituka it cant be a coincident (sijui nimepatia hicho kimalikia)?


Point yangu ni 1..wateja wanawake wote walikua wanawala...yaan piga ua galagalaza lazima uliwe..ukiaminishwa unatolewa nux..sijui unapewa dawa kupitia body to body.. unaambiwa walikua wanarudi kuleta mitejesho yenyewe wana mimbaaa.hehehehe.. ....huenda walikua wanaambiwa waje mara kwa mara
 
Point yangu ni 1..wateja wanawake wote walikua wanawala...yaan piga ua galagalaza lazima uliwe..ukiaminishwa unatolewa nux..sijui unapewa dawa kupitia body to body.. unaambiwa walikua wanarudi kuleta mitejesho yenyewe wana mimbaaa.hehehehe.. ....huenda walikua wanaambiwa waje mara kwa mara
Umeshinda. naelekea kule kwa wafugaji na wakulima sijui kama nitapata jipya huko
 
Usilete injili hapa tuna imani tofauti

Kwa anaefaham mganga yoyote wa kienyeji ambae ni FUNDI naomba anielekeze hata pm please, Nina shida tena kubwa sana na ni mda mrefu nateseka.
Awe maeneo ya dar,pwani au morogoro

Nitashukuru kwa msaada.asanteni
Njoo inbox nikusaidie na yeyote mwenye shida kama ww
 
Back
Top Bottom