Kama utaweza kupokea ushauri wangu... Pokea sasa! Hapa utakutana na madalali wa ulozi tuu... Na kuishia kupigwa... Kama una tatizo serious liweke hapa nikusaidie bure... Huko unakotaka kwenda utaishia kupigwa na kuongeza tatizoUsilete injili hapa tuna imani tofauti
Kwa anaefaham mganga yoyote wa kienyeji ambae ni FUNDI naomba anielekeze hata pm please, Nina shida tena kubwa sana na ni mda mrefu nateseka.
Awe maeneo ya dar,pwani au morogoro
Nitashukuru kwa msaada.asanteni
MGanga hatafutwi kama unatafuta house girlUsilete injili hapa tuna imani tofauti
Kwa anaefaham mganga yoyote wa kienyeji ambae ni FUNDI naomba anielekeze hata pm please, Nina shida tena kubwa sana na ni mda mrefu nateseka.
Awe maeneo ya dar,pwani au morogoro
Nitashukuru kwa msaada.asanteni
Unataka anaye ua yule anayefanya msukule
Kama utaweza kupokea ushauri wangu... Pokea sasa! Hapa utakutana na madalali wa ulozi tuu... Na kuishia kupigwa... Kama una tatizo serious liweke hapa nikusaidie bure... Huko unakotaka kwenda utaishia kupigwa na kuongeza tatizo
Wako waganga wanaofanyia kazi swala la mtu na linarekebshika kabsa....siyo wote ni wahuni kama comment ilivyoandikwa!! Anyway kila mtu aamini kivyake sitaki kusahihishwa!!Kama utaweza kupokea ushauri wangu... Pokea sasa! Hapa utakutana na madalali wa ulozi tuu... Na kuishia kupigwa... Kama una tatizo serious liweke hapa nikusaidie bure... Huko unakotaka kwenda utaishia kupigwa na kuongeza tatizo
Muone bingwa wa Ulozi, Mshana Jr. Kwa sasa atakuwa Chato kuzindua Fisi..
Mkuu..kesho nitakuwa piemuni kwako.Kama utaweza kupokea ushauri wangu... Pokea sasa! Hapa utakutana na madalali wa ulozi tuu... Na kuishia kupigwa... Kama una tatizo serious liweke hapa nikusaidie bure... Huko unakotaka kwenda utaishia kupigwa na kuongeza tatizo
AiseeeeeeeNa wewe ni wale wale , mbwembwe nyingi hauna kitu
Fanya mambo ya giza wewe achana na wokovuUokoke tu uachane na mambo ya giza
Umeshaambiawa usilete injili hapa mbona huelewi!"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
"Stand for the truth always stand alone"