Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,934
Mie siku ya Kwanza nilishituka nakusema waganga wapi na wapi wala sikujibu nikajua kakosea na sikuifuta baada yasiku zikaanza na nyingine hapo ndipo nikagundua kuwa ni majanga vyuma vimekaza hatariHahahaha ila nahisi lazima kuna watu wanawapiga tu vinginevyo wangekuwa wameacha. Namba zetu sijui wanazipata wapi.