Kuna msichana aliniacha kwa maumivu makali mno wakati bado nina mpenda na tulipanga mipango mingi sana na tulidumu katika mahusiano kwa miaka 5.Nilijaribu kila mbinu kurudiana na huyu msichana lakini ikashindikana ,nilijaribu kuvumilia maumivu kwa miaka miwili ili nimsahau lakini sikuweza kabisa roho ikawa bado inauma nampenda.
Option ya mwisho nikasema naenda kwa mganga lolote na liwe siwezi kumpoteza kizembe mwanamke ninayempenda mwanamke wa ndoto yangu,kwetu ni walokole pure nilikuwa sina wazo kuwa ipo siku nitaenda kwa mganga...
nilielekezwa niende kwa mganga mmoja lushoto uko milimani ,kweli yule mganga alinipa dawa ya kuoga na kujifukiza kwa siku 8 na ya kuchoma kwa siku 3 na nyingine niende kuifukia home mlangoni.
Hapa ndipo balaa lilipoanza kiukweli nilirudiana na yule mpenzi wangu aliyeniacha lakini balaa halikuishia hapo,dawa zimeendelea kunitafuna kila mwanamke chuo ananitaka/ananipenda wengine wananitongoza kabisa sio wasichana sio wake za watu.
nina mpango wa kwenda kuombewa haya mapepo yanitoke mpaka sasa nimetafuna wake za watu 10 na visichana 15
Nilimfata PM mshana jr anielekeze kwa waganga wataalamu wazuri lakini akakataa kabisa.
NB:Kama mwanamke akupendi achana nae usilazimishe king matokeo yake yamenikuta nimeenda kuzoa mapepo ya ngono na uzinzi
Option ya mwisho nikasema naenda kwa mganga lolote na liwe siwezi kumpoteza kizembe mwanamke ninayempenda mwanamke wa ndoto yangu,kwetu ni walokole pure nilikuwa sina wazo kuwa ipo siku nitaenda kwa mganga...
nilielekezwa niende kwa mganga mmoja lushoto uko milimani ,kweli yule mganga alinipa dawa ya kuoga na kujifukiza kwa siku 8 na ya kuchoma kwa siku 3 na nyingine niende kuifukia home mlangoni.
Hapa ndipo balaa lilipoanza kiukweli nilirudiana na yule mpenzi wangu aliyeniacha lakini balaa halikuishia hapo,dawa zimeendelea kunitafuna kila mwanamke chuo ananitaka/ananipenda wengine wananitongoza kabisa sio wasichana sio wake za watu.
nina mpango wa kwenda kuombewa haya mapepo yanitoke mpaka sasa nimetafuna wake za watu 10 na visichana 15
Nilimfata PM mshana jr anielekeze kwa waganga wataalamu wazuri lakini akakataa kabisa.
NB:Kama mwanamke akupendi achana nae usilazimishe king matokeo yake yamenikuta nimeenda kuzoa mapepo ya ngono na uzinzi