Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Jaman wandugu wa jf naomba kwa yeyote mwenye information kuhusu tv itakayo rusha mech ya stars na algeria leo. Si unajua huku mikoani ni ngumu kidogo kuja dar kuangalia hyo mech. Uchumi uko chni. Natanguliza shukran zangu.