JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,391
- 9,665
Nina rafiki yangu amempatia mdogo wake hela ya kulipa ada zaidi ya laki 8.
Alipoingia benki kwa ajili ya kulipa hiyo ada na wakati anajaza fomu za kuwekea (Deposit slip) hela wajanja wakamuibia hiyo hela kutoka kwenye mkoba wake.
Kuna namna anaweza akaipata? Maana wizi umefanyika ndani ya benki.
Nimejaribu kumshauri aende hapo benki akaombe CCTV footage ili aweze kuona hilo tukio.
Mwenye uelewa na hayo mambo tafadhali.
Alipoingia benki kwa ajili ya kulipa hiyo ada na wakati anajaza fomu za kuwekea (Deposit slip) hela wajanja wakamuibia hiyo hela kutoka kwenye mkoba wake.
Kuna namna anaweza akaipata? Maana wizi umefanyika ndani ya benki.
Nimejaribu kumshauri aende hapo benki akaombe CCTV footage ili aweze kuona hilo tukio.
Mwenye uelewa na hayo mambo tafadhali.