run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,822
- 3,130
Hongereni kwa mapambano ya uchumi.
Nimefikiria kuanzisha biashara tajwa hapo lakini sina uzoefu sana kama baadhi yenu humu.Kibnafsi location ya kupata mbuzi ipo nje kidogo ya mji na location ya kuweka goli langu bado nipo kwenye upembuzi yakinifu.
Naomba maoni nyenu Manguli wa biashara hii.
->mchanganuo wake,
-> changamoto zake
-> faida zake
->hasara zake
->n.k.
Najua haziwezi kuwa zinafafana lakini naamini zinaweza kukaribiana kwa njia moja au nyingine
Shukrani za dhati kwenu wote.
Nimefikiria kuanzisha biashara tajwa hapo lakini sina uzoefu sana kama baadhi yenu humu.Kibnafsi location ya kupata mbuzi ipo nje kidogo ya mji na location ya kuweka goli langu bado nipo kwenye upembuzi yakinifu.
Naomba maoni nyenu Manguli wa biashara hii.
->mchanganuo wake,
-> changamoto zake
-> faida zake
->hasara zake
->n.k.
Najua haziwezi kuwa zinafafana lakini naamini zinaweza kukaribiana kwa njia moja au nyingine
Shukrani za dhati kwenu wote.