OTIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,251
- 828
Habari wananzengo,
Mdogo wangu amekuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Ulcerative Colitis tangu 2016 hadi leo. Ugonjwa huu unahusisha kujisaidia damu pale uendapo chooni. Tulimpeleka Aga Khan Hospital na baada ya kufanyiwa Colonoscopy, madaktari walijiridhisha kuwa anaumwa Ulcerative Colitis na sio Hemorrhoids.
Tangu 2017 hadi leo amekuwa anatumia dawa za hospitali ila bahati mbaya ugonjwa huu hauponi ila unatulizwa tu kama matumizi ya ARV kwa mwenye VVU.
Kupitia jukwaa hili nina amini kunaweza kuwa na watu walipitia changamoto kama hii au wanaojua matibabu mbadala ya ugonjwa huu.
Natanguliza shukrani.
Mdogo wangu amekuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Ulcerative Colitis tangu 2016 hadi leo. Ugonjwa huu unahusisha kujisaidia damu pale uendapo chooni. Tulimpeleka Aga Khan Hospital na baada ya kufanyiwa Colonoscopy, madaktari walijiridhisha kuwa anaumwa Ulcerative Colitis na sio Hemorrhoids.
Tangu 2017 hadi leo amekuwa anatumia dawa za hospitali ila bahati mbaya ugonjwa huu hauponi ila unatulizwa tu kama matumizi ya ARV kwa mwenye VVU.
Kupitia jukwaa hili nina amini kunaweza kuwa na watu walipitia changamoto kama hii au wanaojua matibabu mbadala ya ugonjwa huu.
Natanguliza shukrani.