Msaada/Matatizo ya moyo

Tempest

Senior Member
Apr 26, 2022
192
296
Habari,
Naomba kuuliza nikitaka kufanya checkup ya magonjwa ya moyo niandae kiasi gani hospital maan Sina bima na hospital ipi ni poa zaidi au ipi ni poa na gharama zake ni za kawaida ambazo mtu anaweza kuzikudu kiurahisi au daktari unayemfahamu n.k

Maana nna dalili nying zinazoashiria Hilo tatizo pia ukizingatia Kuna family history ya Hilo tatizo Kwa mzee , Sasa nataka kuwah mapema kabla haijakuwa ishu nikawapa tabu ndugu ambaonwao wenyew tu wanantegemea mm
 
Habari,
Naomba kuuliza nikitaka kufanya checkup ya magonjwa ya moyo niandae kiasi gani hospital maan Sina bima na hospital ipi ni poa zaidi au ipi ni poa na gharama zake ni za kawaida ambazo mtu anaweza kuzikudu kiurahisi au daktari unayemfahamu n.k

Maana nna dalili nying zinazoashiria Hilo tatizo pia ukizingatia Kuna family history ya Hilo tatizo Kwa mzee , Sasa nataka kuwah mapema kabla haijakuwa ishu nikawapa tabu ndugu ambaonwao wenyew tu wanantegemea mm
Pole mie nilipata shida ya moyo kutanuka aisee, nimetumia garama kubwa kuitibu, vipimo kwa Arusha St Elizabeth hospital, Electrocardiogram Ni 35,000 na cardiogram Ni 70000, hela ya file 1000, na kumuona dakitar Ni 20000
 
Pole mie nilipata shida ya moyo kutanuka aisee, nimetumia garama kubwa kuitibu, vipimo kwa Arusha St Elizabeth hospital, Electrocardiogram Ni 35,000 na cardiogram Ni 70000, hela ya file 1000, na kumuona dakitar Ni 20000
Hapo ni kama 140 vipimo, na solution ilikuwa nn?
 
Mkuu mie nakushauri tafuta hela uende Kufanya check-up Kenya,hizo Hospital za kwetu madaktari wake sio wakuwaamini kabisa.Niliwahi kucheki afya pale Muhimbili na Benjamin Mkapa yani daktari anakupima moyo huku anaongea na simu.

Sasa wale wa maabara ndio bure kabisa-kiufupi huduma za Afya Tanzania ni majanga-watoa huduma hawako serious kabisa na kazi zao.
 
Mkuu mie nakushauri tafuta hela uende Kufanya check-up Kenya,hizo Hospital za kwetu madaktari wake sio wakuwaamini kabisa.Niliwahi kucheki afya pale Muhimbili na Benjamin Mkapa yani daktari anakupima moyo huku anaongea na simu.

Sasa wale wa maabara ndio bure kabisa-kiufupi huduma za Afya Tanzania ni majanga-watoa huduma hawako serious kabisa na kazi zao.
Hilo ni kweli kabisa, ila nataka hata pa kuanzia tu then baadae ntatafuta pesa zaidi
 
Pole mie nilipata shida ya moyo kutanuka aisee, nimetumia garama kubwa kuitibu, vipimo kwa Arusha St Elizabeth hospital, Electrocardiogram Ni 35,000 na cardiogram Ni 70000, hela ya file 1000, na kumuona dakitar Ni 20000
Bima si inaweza tumika?
 
Habari,
Naomba kuuliza nikitaka kufanya checkup ya magonjwa ya moyo niandae kiasi gani hospital maan Sina bima na hospital ipi ni poa zaidi au ipi ni poa na gharama zake ni za kawaida ambazo mtu anaweza kuzikudu kiurahisi au daktari unayemfahamu n.k

Maana nna dalili nying zinazoashiria Hilo tatizo pia ukizingatia Kuna family history ya Hilo tatizo Kwa mzee , Sasa nataka kuwah mapema kabla haijakuwa ishu nikawapa tabu ndugu ambaonwao wenyew tu wanantegemea mm
Kama Ni family history hiyo Ni hypertrophic cardiomyopathy
 
Mkuu mie nakushauri tafuta hela uende Kufanya check-up Kenya,hizo Hospital za kwetu madaktari wake sio wakuwaamini kabisa.Niliwahi kucheki afya pale Muhimbili na Benjamin Mkapa yani daktari anakupima moyo huku anaongea na simu.

Sasa wale wa maabara ndio bure kabisa-kiufupi huduma za Afya Tanzania ni majanga-watoa huduma hawako serious kabisa na kazi zao.
Nyongeza tu bali ipo nje ya mada ila ni ugonjwa tofauti ,nakumbuka mwezi uliopita nilipata dental carrier(wadudu walianza kushambulia jino ) kwenye gego la chini kushoto sasa uzuri nina bima nikaenda hospitali tena ina jina kubwa tu na ni private wana mashine nyingi tu za kimatibabu.

Sasa mimi jino langu lilikuwa haliumi ila limeweka weusi kidogo kwa juu na nikinywa maji ya baridi sana linakuwa sensitive kwa mbali nikaona niliwahi kabla halijalika zaidi sasa nafika jamaa ni specialist lakini ananishauri niling'oe tena kwa msisitizo huku ananiambia huwa yanayozibwa hayakawii kuuma zaiidi nikamwambia siwezi ng'oa jino kwa sasa .

Alipoona nakaza ikabidi afuate ninavyotaka akakwangua carriers zote akaziba na ile composite filler na mpaka sasa namshkuru Mungu nipo salama sina shida yoyote kama alivyotaka kuniaminisha .

Baada ya kutoka pale nilijiuliza sanaa aisee
 
Nyongeza tu bali ipo nje ya mada ila ni ugonjwa tofauti ,nakumbuka mwezi uliopita nilipata dental carrier(wadudu walianza kushambulia jino ) kwenye gego la chini kushoto sasa uzuri nina bima nikaenda hospitali tena ina jina kubwa tu na ni private wana mashine nyingi tu za kimatibabu.

Sasa mimi jino langu lilikuwa haliumi ila limeweka weusi kidogo kwa juu na nikinywa maji ya baridi sana linakuwa sensitive kwa mbali nikaona niliwahi kabla halijalika zaidi sasa nafika jamaa ni specialist lakini ananishauri niling'oe tena kwa msisitizo huku ananiambia huwa yanayozibwa hayakawii kuuma zaiidi nikamwambia siwezi ng'oa jino kwa sasa .

Alipoona nakaza ikabidi afuate ninavyotaka akakwangua carriers zote akaziba na ile composite filler na mpaka sasa namshkuru Mungu nipo salama sina shida yoyote kama alivyotaka kuniaminisha .

Baada ya kutoka pale nilijiuliza sanaa aisee
Yani unachojiuliza ni nini? Kwamba alikuwa anakudanganya au hajui?
Alichokuambia ndio permanent solution na Huna namna utairudia tu baada ya muda mfupi.
Hiyo ni kitaalam wala haina chenga
 
Back
Top Bottom