Moja ya mashairi yake yanasema:
Kama ni watoto fika kwetu posa,
utawaona,utawaona,
usifike kwangu utaleta fujo, na mpenzi wangu wa sasa
tulitalaka na wewe bila kuleta kitu kwetu...
Simjui muimbaji wala jina la wimbo niliusikia kitambo kidogo nikaupenda msaada mwenye nao au anayefahamu jina la msanii na wimbo.
Nawasilisha.
Kama ni watoto fika kwetu posa,
utawaona,utawaona,
usifike kwangu utaleta fujo, na mpenzi wangu wa sasa
tulitalaka na wewe bila kuleta kitu kwetu...
Simjui muimbaji wala jina la wimbo niliusikia kitambo kidogo nikaupenda msaada mwenye nao au anayefahamu jina la msanii na wimbo.
Nawasilisha.