ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
pole sana ila muombeena ongea naye kwa upendo halafu nitumie jina lake kamili nimfungie maombi ya siku 3 atabadilika na kuwa mama bora
Nashukuru kwa ushauri wenu wapendwa ila Nina mtihani mgumu, mama yangu alikuwa muumini wa kawaida sana! Sasa tangu ameingia makanisa hayo anarudi vumbi tupu, nikiongea nae kwa simu ni jina la yesu mwanzo mpaka mwisho wa maongezi, hata sielewi kwa kweli, ila nashukuru sana kwa kunitia moyo.