Sina sababu ya kuongopa wala hainisaidii! Mimi naishi Japan unaniuliza kanisa analosari nitalijuliwa wapi! Ni rahisi kwako kuandika na kuhukumu Kwamba ninasema uongo! Mama yangu alikuwa mfanya kazi serikalini aliumia akiwa kazini pesa zake zote alizolipwa Hakuna anayejua zimekwenda wapi! Baba yangu alimpatia pesa afanye biashara pesa zote zimekwenda! Tafadhali Kama huna cha kuchangia acha ila usiniambie nasema uongo, mimi ni mkatoliki sitohama Kwenda kanisa lolote, Kama uamini naishi Japan unaweza kunipigia kwenye simu yangu +818044441220, Kama wewe umepata wokovu ni juu yako, sihitaji kuongea na mama yangu mambo ya yesu kwenye simu maongezi yote! Wakati Nina mambo ya msingi ya kuzungumza nae, mimi ni mtu mzima naheshimu wazazi na natambua ugumu wa swala hili kwangu, nilisema mama aliyemtambulisha mama yangu kwenye kanisa Hilo amekwisha fariki kwa cancer ya maziwa, kwenye mkumbo huo huo wa mama kuna mzee mwingine amekufa na tb, Kama huna cha kuchangia acha ila usiniambie Kwamba nasema uongo, familia yangu yote inahangaika kumnusuru mama yetu bila mafanikio, wajomba, mashangazi, you don't how know how I feel and what my family is going through so please don't judge me,just wish me luck to rescue my mother, nakwambia mama yangu anatoka alfajiri saa 11 na kurudi usiku na amechoka hoi, ninaongea na baba yangu hata sauti yake kwenye mazungumzo ni ya unyonge, Kama ningeweza ningerudi nyumbani hata Leo isipokuwa siwezi kupata ruhusa ya muda mrefu mpaka nitakapokuwa likizo mwezi 12, ndio maana una hata michango yangu kwenye hii post yangu inakuwa Sio mingi kwasababu nakuwa kazini na tofauti ya masaa Kati yangu na wachangiaji.