OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,066
Mkuu kwa biashara mpya unaandika wapi?Nalipa kama hiyo kwa mwaka kutokana na record zangu za mauzo kwenye kitabu pia walifika kijiweni kwangu wakakagua wakaridhika na Iyo kodi
Nnachokushauri mkuu andika mauzo Yako yote kwenye kitabu itakusaidia Sana maana ukiandika barua ya kupunguziwa kodi kwamba biashara haiendi watataka kumbu kumbu zako za mauzo
Mkuu acha tu. Mimi natakiwa kulipa 60,000 ya pango.Halafu bado kuna ile 10% ya kodi ya pango. Mfano unalipa kodi 100k na wewe umelipia labda miezi 6. TRA watataka uwalipe ten percent ya kodi ya pango kwa mwaka mzima hivyo utalipa 120k kwa mwaka ..wao hawajui umelipa pango kwa Muda gani..
Hivyo chukua 250,000+120,000 ndonupate tax clearance.
Ili kukupooza wanakwambia lipa kwa awamu nne..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu. Hii ni nchi pekee ambayo ukiwa honest unapigwa fine. Mimi naacha hii biashara nitawapa sababu za kuacha sina sababu za kukaa chini kuwalalamikia watu wasio jielewa. Wao vichwa vyao ni kodi tu. Na sidhani kama manager wao anaweza kuwa na mentality tofauti.Wewe ndo umejichanganya mkuu ..kodi unakadiriwa kulingana na maelezo yako, sasa wewe umeenda mzima mzima lazima wakupige kodi kubwa tu ..pia kama umewapa mkataba wa nyumba unaonesha kiwango cha pango unacholipa hapo umefeli pakubwa ..wakati mwingine tuulize sisi wazoefu
Hapo bado unaenda kupata leseni ..Enewei, lipa kodi tujenge nchi
Mitano tena..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sasa huoni utofauti wa kulipa baada ya miezi 6 ?Nimepewa miezi 6 lakini actually sio grace period. Nimeambiwa miezi 6 ikiisha nilipe 62.5 *2==125,000. Sasa logic ya grace period ni nini?
Yaani unaacha biashara kirahisi hivyoSawa mkuu. Hii ni nchi pekee ambayo ukiwa honest unapigwa fine. Mimi naacha hii biashara nitawapa sababu za kuacha sina sababu za kukaa chini kuwalalamikia watu wasio jielewa. Wao vichwa vyao ni kodi tu. Na sidhani kama manager wao anaweza kuwa na mentality tofauti.
Kumbukumbu ni kila kitu mkuu.Sasa duka la mangi unauza ugoro unataka kuweka kumbukumbu mzee. Si kujichosha tu
Ukienda kwa wale jamaa kwa uwaminifu kabisa unakuwa kama mbuzi uliyejitoa kafara. ..tafuta wazoefu kwanza kabla ya kuanza biashara. Halafu usiache biashara mkuu ..wee fungua tu kwanza fanya kazi maswala ya malipo ni baadae hukoSawa mkuu. Hii ni nchi pekee ambayo ukiwa honest unapigwa fine. Mimi naacha hii biashara nitawapa sababu za kuacha sina sababu za kukaa chini kuwalalamikia watu wasio jielewa. Wao vichwa vyao ni kodi tu. Na sidhani kama manager wao anaweza kuwa na mentality tofauti.
Ni bora umuone Manager wao kuliko kuacha biashara. Halafu hao ma officer wana mabosi wao pia ambao kazi yao ni kurekebisha makosa yao. Ingekuwa mimi kama sipati jibu nalotaka nitafika hadi kwa Commissioner General na mtaji wangu wa laki 7. Jiamini.Wakuu za leo.
Katika kupambana na maisha nikaamua kuanzisha duka la rejareja almaarufu la mangi mitaa ya hapa Mwanza.
Nikaenda TRA kusajili TIN bana jamaa wakakadiria kodi nilipe 250,000 kwa mwaka. Sasa yaani nimeshindwa hata cha kuongea nawaambia mimi kwa hii miezi miwili kwa siku hardly naweza pata 10,000. Ikiwa siku nzuri atleast naweza pata 15,000. Hapo hujatoa pango, umeme n.k, Kwa mwezi unaweza ishia na faida ya 50,000. sasa hii kodi ya 250,000 wameitoa wapi. Hafu wanasema mauzo yangu kwa mwaka ni mil 9.6 aseee nimejuta.
Sasa nimeamua kuachana na hii biashara bora nishinde nalala tu. Mtaji wenyewe laki 6.
Je. wakuu hii kodi 250,000 ni reasonable Kweli?
Hafu mbona kama wao wamekaa tu wanakukadiria ili ufeli ubaki na umasikini wako.
Nimeanza namna ya kuacha hii biashara, Kodi ikiisha tu naenda zangu kulima. Sasa ni namna gani naweza sitisha hili kadirio.
Asante
Nunua hata counter bookMkuu kwa biashara mpya unaandika wapi?
Mimi siwezagi kabisa kukaa niongee kwa kulia lia never.Yaani unaacha biashara kirahisi hivyo
Wewe huwezi biashara. Kaa chini na wadau na wazoefu wa baishara wakupige msasa. Usione Wafanyabiashara wanatembelea ma-Vogue mijini udhani Mambo ni smooth Kama unavyofikiri. Nchi hii ni mchakamchaka.
Ni bora umuone Manager wao kuliko kuacha biashara. Halafu hao ma officer wana mabosi wao pia ambao kazi yao ni kurekebisha makosa yao. Ingekuwa mimi kama sipati jibu nalotaka nitafika hadi kwa Commissioner General na mtaji wangu wa laki 7. Jiamini.
Nitajipanga tena upya nitaanza. Ila silipi hii hela walahi.Ukienda kwa wale jamaa kwa uwaminifu kabisa unakuwa kama mbuzi uliyejitoa kafara. ..tafuta wazoefu kwanza kabla ya kuanza biashara. Halafu usiache biashara mkuu ..wee fungua tu kwanza fanya kazi maswala ya malipo ni baadae huko
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
hem click hii link uone km inafungukaIngiaa hapa mkuu cheki turn over ya mwaka kwa bei ya chini www.tra.go.tz hapo utaona kama umeibiwa au la
Una jina la gari yangu pendwa....Mkuu mimi nakumbuka ilichukua miezi mitatu Hadi nafanyiwa makadirio nilianza biashara mwezi wa kumi nikaenda tra waliniambia nifanye biashara kwanza mwezi January mwaka huu wakanikadiria kodi ambayo nalipa kila baada ya miezi mitatu
ulienda kufanya nn huko tra au ulikuwa unawapima mmeshaambiwa km biashara zenu hazizidi mtaji wa 4mil chukua kitambulisho cha machinga kaa nacho hapo dukani kwako hakuna atayekusumbua..Wakuu za leo.
Katika kupambana na maisha nikaamua kuanzisha duka la rejareja almaarufu la mangi mitaa ya hapa Mwanza.
Nikaenda TRA kusajili TIN bana jamaa wakakadiria kodi nilipe 250,000 kwa mwaka. Sasa yaani nimeshindwa hata cha kuongea nawaambia mimi kwa hii miezi miwili kwa siku hardly naweza pata 10,000. Ikiwa siku nzuri atleast naweza pata 15,000. Hapo hujatoa pango, umeme n.k, Kwa mwezi unaweza ishia na faida ya 50,000. sasa hii kodi ya 250,000 wameitoa wapi. Hafu wanasema mauzo yangu kwa mwaka ni mil 9.6 aseee nimejuta.
Sasa nimeamua kuachana na hii biashara bora nishinde nalala tu. Mtaji wenyewe laki 6.
Je. wakuu hii kodi 250,000 ni reasonable Kweli?
Hafu mbona kama wao wamekaa tu wanakukadiria ili ufeli ubaki na umasikini wako.
Nimeanza namna ya kuacha hii biashara, Kodi ikiisha tu naenda zangu kulima. Sasa ni namna gani naweza sitisha hili kadirio.
Asante
Acha wendawazimu Mkuu, umeambiwa ndio kwanza ana anza biashara. Hizo kumbukumbu anazitoa wapi? CCM acheni upuuzi wenu aisee.Ni kweli ila kwa sababu wengi hawajui wanapewa.makadirio ya ovyo hata.mimi nilipopata mtaalamu ndio akanifungua macho.
Kitu muhimu ni kuweka kumbukumbu za mapato na matumizi kitu ambacho wengi hawafanyi.
Wemdawazi wazazi wako waliokuzaaAcha wendawazimu Mkuu, umeambiwa ndio kwanza ana anza biashara. Hizo kumbukumbu anazitoa wapi? CCM acheni upuuzi wenu aisee.
Acha kutumia MASABURI wewe, mwenzako anasema ndio kwanza ameanza biashara wewe unataka awe na kumbukumbu kutoka wapi? mattacko wewe.Wemdawazi wazazi wako waliokuzaa